Toka mwezi wa nne tangazo lilipotoka mpaka hii leo hakuna majina yoyote ya wanaotarajia kujiunga na mafunzo ya uliamu, hivi serikali kupitia wizara inafanya nini!? Yaani mipango inabadilika kila mwaka yaani hamwueleweki kabisa. Mwenye taarifa za karibu na wizara atupe habari.
Walimu sasa hiv wanatosha, alafu mkuu kasha sema kwamba sis tuliomakiza bachelor ya education tunaenda kufunfisha na primary kwa hyo nyie hamna nafasi tena vijana