Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Ukiwa HIGH hata Kifo hukisikii maumivu ogopa sana binadamu alie kata tamaa ya kuishi..Yakukute Ila yasikukute makubwa km haya ya kuuliwa na Mob Justice Mob Justice sio mchezo unachomolewa ulimi hivi unauona
hakika ndugu yanguHuko dodom ccm imesababisha umaskini mkubwa....ukifatilia hilo tukio lina link moja kwa moja na hali ya kipato
Muuaji aliuawa na wananchi.Ikithibitika kuwa ana akili timamu nae auwawe.
Mob Justice ni kile kitengo cha utesaji kule kambini ni noma unatwishwa kitu kizito tena kwa kutupiwa kichwa ukiwa umefungwa kamba ili usikipokee kwa hio kinakufikia tu kichwani na kichwa kinageuka chapatiUkiwa HIGH hata Kifo hukisikii maumivu ogopa sana binadamu alie kata tamaa ya kuishi..
Nikawa wale wavaa mabomu na kujilipua kwenye kadamnasi...
Hawa watu wamekuwa vichomi sana, kila kona watu wanawalaumu.Kesi kama hizi mara nyingi chanzo huwa ni mama wakwe kutaka kuongoza ndoa za watoto zao
kibongobong ni ngumu ila kuna kitu kilimkutaAngelikuwa Hai Angelipimwa Kama Ana Tatizo La Akili Hii Si Bure.
Mjinga huyo kapata faida Gani sasa baada ya kuua
Kuna wakati hiki chama cha kataa ndoa ni kama nataka kukielewa hivi 😎😎 daah yaani siku hizi matukio ya kuuana asilimia kubwa yamekua yakiwatokea wana ndoa tu..KATAA NDOA KATAA UHUNI NA USANII
Case closedFaida aliyopata ni kuuwawa na wanaojua uchungu wa kutoa roho ya mtu.
NAKAZIAKATAA NDOA KATAA UHUNI NA USANII
"Aisifiaye mvua imemnyeshea" Jiangalie usijetolewa uhai kwa kuwa majibu ya mikoa uliyoitaja, kumbuka "maneno huumba"...[emoji3578]Safari hii Dodoma wamewajibu Geita na sio njombe Tena,mara wametulia
Safari hii Dodoma wamewajibu Geita na sio njombe Tena,mara wametulia
Mtihani mkubwa.Nyumba moja watu wawili halafu mtaa wa jirani msiba mwingine.Ni uchungu.