Aua Mke na Mkwe wake

Mama mkwe kuna kitu alienda kulazimisha ili kuweka mambo sawa kwa upande wao
 
Ugumu wa maisha unaleta frustrations sana kwa watu. Afya ya akili ni tatizo jingine kubwa sana ambalo tunapaswa kulichukulia tahadhari ya hali ya juu sana.

Wapumzike kwa amani.
 
KATAA NDOA KATAA UHUNI NA USANII
Ndoa ni uhuni tu.

Ndoa tulijitungia sisi wenyewe.

Kiuhalisia sisi ni wanyama kama mbuzi, kondoo mbwa n. K

Imagine unaingia mkataba wa kulala na mwanamke/mwanaume mmoja miaka 50+...!?

Haiingii akilini kabisa
 
Hilo jina la kamanda: OTIENO. Nawaswas mimi....... mh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…