Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Wapumbavu kama wewe ni wale wanaotegemea maisha yao kuendeshewa na hiyo gender,Kwa hiyo tubaki wanawake pekee halafu kizazi kitaendeleaje duniani? Nani atatukaza?
Samahani, wewe Ni mpumbavu
Umesoma, ungekuwa haujasoma usingejibu hivi. Give yourself a chance.Sijalisoma hilo gazeti lakini nakushauri umeze haraka dawa zako za.... side effects hua ni kubwa sana ukiskip the dose.
🥲
Mbeya ni wapumbavu sanaWananchi wenye hasira katika Kata ya Isanga, jijini Mbeya, wanadaiwa kumuua kwa kumchoma moto mtu ambaye hajafahamika jina lake, kwa tuhuma za kumlawili mtoto wa miaka mitano na kusababisha kifo chake.
Imeelezwa tukio hilo limetokea Juzi, Jumatatu Agosti 21, 2023 saa 1:45 usiku na kwamba wananchi wenye hasira wamefikia hatua hiyo kufuatia kuwepo kwa matukio kadhaa ya watoto kupotea.
Akizungumza na Mwananchi Digital, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Igoma ''A,'' Kata ya Isanga, Damian Mwasanguti, amesema kuwa mtu huyo aliyeuawa kwa kuchomwa moto, sio mkazi wa eneo hilo, huku akilaani kitendo cha ukatili kilichofanywa, dhidi ya mtoto.
“Kama kiongozi, baada ya kupata taarifa, nililazimika kufika eneo la tukio na kumkimbiza mtoto huyo hospitali...mtuhumiwa alikuwa akishambuliwa na wananchi lakini baadaye tukapigiwa simu kuwa amepoteza maisha baada ya kuchomwa moto,” amesema.
Baba wa mtoto aliyefariki, Benjamin Mwashilindi, ameiambia Mwananchi Digital kuwa yeye anarejea nyumbani kwake toka safari kikazi Makambako, mkoani Njombe, alipigiwa simu kuwa kuna tukio la mwanaye kulawitiwa na kupoteza maisha.
“Nilikuwa nimefika eneo la mlima nyoka nililazimika kuchukua usafiri wa pikipiki ili kuwahi ambapo nilipofika nyumbani nilikuta eneo la tukio kukiwa na mabegi na ndipo nikampigia simu mwenyekiti kujua wako wapi kwa muda huo,” amesema.
Kwa upande wake mjumbe wa nyumba kumi, Hadija Binti Masudi amesema akiwa anatoka kwenye shughuli zake za kuuza nguo, alisikia kelele za wananchi wakisema mtoto analawitiwa, ndipo alipotoka na kukuta akiwa hana nguo.
Akizungumzia tukio hilo mmoja wa mashuhuda ambaye pia ni jirani na jengo (pagala) ambalo kitendo hicho kinaidaiwa kufanyika, Shadrack Isaya, amesema alipopita katika eneo hilo alihisi harufu mbaya.
“Lakini nilipojaribu kusogea nikaona kuna njemba amevua suruali na nilitafuta upenyo zaidi kuona kulikoni, nikagundua chini yake kulikuwa na kama mtoto mdogo,” amesema na kuongeza;
“Ilikuwa giza, hivyo nililazimika kuwasha tochi ya simu ili kujua ni nini kinaendelea, nilipomulika ndipo mtuhumiwa alinyanyuka na kuanza kuvaa suruali...baada ya kumhoji kulikoni kufanya kitendo hicho, ghafla kurushia ngumi kisha kukatokea purukushani,” amesema.
Amesema kuwa baada ya kuona anaelemewa alitoa kisu na kumtishia huku akimueleza atakuja kufa kizembe ndipo wananchi walipojitokeza na kuanza kumshambulia kwa kipigo.
Mwananchi ilipomtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga, kuzungumzia tukio hilo hakuweza kupatikana, hata hivyo juhudi za kumtafuta kamanda huyo bado zinaendelea.
MWANANCHI
To be honest sijasoma, hua nakuimagine ni mtu uliyekosa utimamu wa akili (judging from maandishi yako)Umesoma, ungekuwa haujasoma usingejibu hivi. Give yourself a chance.
Acha ubinafsi. Yani kwakua wewe unaenjoy kusagana na wanawake wenzio, basi unataka wanaume waote watokomezwe? Kaa kwa kutulia, wenzako wanaopenda mishedede yetu wapo wengi sana. We're here to stay!The other gender again, [emoji119]
Tukisema hii jinsia ni laana itokomezwe ili dunia ibaki salama, tunaonekana haters.
Ubinafsi or not, mfe tu tumewachoka, Dunia ibaki SalamaAcha ubinafsi. Yani kwakua wewe unaenjoy kusagana na wanawake wenzio, basi unataka wanaume waote watokomezwe? Kaa kwa kutulia, wenzako wanaopenda mishedede yetu wapo wengi sana. We're here to stay!
Tukio la mpuuzi mmoja haliwezi kuhalalisha kutokomezwa kwa gender yote ya kiume. Kuna nurse wa kike uingereza ameua watoto wachanga zaidi ya kumi kwa sumu. Vipi, tuwahukumu wanawake wote kwa sababu ya upuuzi wake?
Hapana, ni "Mudi" alieingilia katoto ka miaka tisa.Siyo Mwambulukusi?
Ila wewe kaka dah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We una hasira na sisi kwani tulikubaka?
Yani wanaume wote tufe ili tukufurahishe wewe? Hauwezi kua serious!Ubinafsi or not, mfe tu tumewachoka, Dunia ibaki Salama
Yeah, inaweza kuwa ni hivyo kuwa umeimagine kuwa me ni mwehu ila kuna upande wako wa pili umejaribu kuwaza nilichokielezea hapo kuwa kikitokea kweli utapata experience gani. Kiukweli kuna upande wako umetamani though hautakubali hapa sababu ni hadharani.To be honest sijasoma, hua nakuimagine ni mtu uliyekosa utimamu wa akili (judging from maandishi yako)
Kumbe hawana kitu chochote wanachokihitaji kwenu zaidi ya mishedede! Nikadhani labda kuna kubwa mnalowafadhili,Yani wanaume wote tufe ili tukufurahishe wewe? Hauwezi kua serious!
Kuna wenzio wanaitaka mishedede, wanatuombea tuendelee kuishi. Maombi yao yanasikilizwa kuliko ya kwako yaliyojaa chuki!
You really need some good dick dadaangu. Haya makasiriko yataisha!
Kama shahidi anasema ukweli. Na kama hasemi ukweli ?Kama huyo shuhuda anasema ukweli, basi ni jambo la kikatili sana amefanya
Hauna cha kutufanya Chief!Kumbe hawana kitu chochote wanachokihitaji kwenu zaidi ya mishedede! Nikadhani labda kuna kubwa mnalowafadhili,
Hii gender bhana haina inachowaza zaidi ya ngono ndio maana hamuwezi kuacha kubaka na kulawiti watoto hadi wanyama, ni wachafu sana
Mwenzio kachomwa moto.... omba sana usikutweHauna cha kutufanya Chief!
Nini tena dada trudieIla wewe kaka dah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeongea la maana sana.Lakini pia wazazi inabidi tuwe macho na watoto wetu, mtoto mdogo usiku alikuwaje peke yake hadi ifikie anabakwa nje na nyumbani mama yuko wapi??
Kina mama wenzangu malezi sio tuu kumpa chakula na kumsomesha, inabidi tuwe makini na mtoto anacheza wapi, muda gani yupo wapi na anafanya nini. Kazoeana na nani na marafiki zake wote.
Pia tuwafundishe kutomfwata mtu asijemjua, ikiwemo kupokea vizawadi kama pipi, biskuti chokoleti na fedha.