Wewe husikii huyo alikuwa ni kichaa sasa mtu gani mwenye akili zake anayeweza kufanya kitendo kama hicho. Watu inatakiwa watumie akili badala ya kutanguliza tu jazba.Samia Suluhu akiteua muislamu JF huchafuka kwa malalamiko. Na kwakuwa ni jambo linalowafirahisha huwa wasimamizi wapo kimya.
Huwa huo uvumilivu mnakuwa mmeusahau wapi?
Unadhani waislamu wangekuwa na upuuzi huo wa dharau kwa vitabu vyenu hii nchi ingekuwa na hii amani uionayo?
Kumbuka tu mlivyoshindwa kujibu hoja mkaita mihadhara ya kashfa, uvumilivu mlimuazima jirani!?
Yani dini ni upumbavu sanaMunawar Gujjar, mkuu wa kituo cha polisi mjini Tulamba, ambako tukio hilo lilitokea, aliliambia Shirika la Habari la AP kwamba mwathiriwa huyo: "alikuwa na matatizo ya akili kwa miaka 15 iliyopita".
Ukisoma paragraph ya mwisho utagundua kuwa wenye dini yao wana mihemko sana.
Mi nilijua ukichona kurana unageuka chizi au mnyama anayetisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siyo mihemko ila wajinga wakubwa, dalili ya kitu feki ni kulindwa kwa nguvu zote.
Cha kushangaza hapo kipi?Wewe husikii huyo alikuwa ni kichaa sasa mtu gani mwenye akili zake anayeweza kufanya kitendo kama hicho. Watu inatakiwa watumie akili badala ya kutanguliza tu jazba.
Ameonyesha hisia zake za ukweli, Mungu amrehemuJamaa kweli alikua mfia dini' Yaan Pakistani kabisa na anajua ni Taifa lenye sehemu kubwa ya waislam na bado kafanya hilo jambo na kweli ashukuriwe Mungu.
Na ndio waliojazana Zenji na Mombasa.
Dah, watu wanathamini kitabu kushinda hata Mungu mwenyewe aliyewaumba, hata subira tu kwamba labda huyo mtu alikuwa na matatizo ya akili hamna.!
Police wamesema alikuwa na matatizo ya akiki kwa miaka 15 sasa nawewe unahemkwa kama hao wauaji bila kutumia akili.
Aibu sana.
Dini nyingine zipo kimchongo tu, yaani peponi kuna mito ya pombe na wanawake bikra 72 kwa kila mwanaume. Hili litakuwa ni danguro la aina yake.Samia Suluhu akiteua muislamu JF huchafuka kwa malalamiko. Na kwakuwa ni jambo linalowafirahisha huwa wasimamizi wapo kimya.
Huwa huo uvumilivu mnakuwa mmeusahau wapi?
Unadhani waislamu wangekuwa na upuuzi huo wa dharau kwa vitabu vyenu hii nchi ingekuwa na hii amani uionayo?
Kumbuka tu mlivyoshindwa kujibu hoja mkaita mihadhara ya kashfa, uvumilivu mlimuazima jirani!?
Roho mbaya ka dingi wa kamboAkafie mbelee uko kuna vitu vya kuchoma moto
Angekusanya hata majani angechoma
Ukristo hauna hizi tabia za kishetani za kufurahia vifo vya watu wengine.Safi sana
Miongoni mwa wakristo hawajafurahia kuuawa kwake [emoji16]
Kuna kesi za mashehe wamelawiti vitoto vidogo zaidi ya 20, nayo ungeiongeza kwenye orodha.Makanisani vipi mzehe? Yule padri alielawiti unamzungumziaje?
Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.,,,na hili unalizungumziaje?? Siyo haya tu kuna machafu mengi tuu wanayafanya viongozi wenu wa dini
Ashukuriwe mungu kwa kumwua mtu kichaa kwa miaka 15?Jamaa kweli alikua mfia dini' Yaan Pakistani kabisa na anajua ni Taifa lenye sehemu kubwa ya waislam na bado kafanya hilo jambo na kweli ashukuriwe Mungu.