Auawa na kundi la watu kwa kuchoma Quran

Heading ilitakiwa isome chizi auliwa na jamii kwa bahati mbaya ya kutojua kuwa alifanya uchizi
Acha ujinga wewe. Kichaa wa miaka 15 huwezi muua kwa bahati mbaya.
Maana yake anajulikana. Na kati ya hao waliomwua hawajasema bahati mbaya wala hawajutii!

Halafu Pakistani huijui. Ni kawaida mkagombana na mtu ugomvi wa shamba akakusingizia umemkurufuru Muhammad au Allah au kitu kingine kinachoangukia kwenye sheria yao ya kufuru ambayo hukumu ni kifo. Na huwa hawasubiri mahakama, bali wanafanya tu mob murder.

Ukiijua vizuri Pakstani na mambo yake utaacha huu ujinga! Kule serikali ni kama ipo geresha tu!
 
Sasa hapo kulikuwa na haja gani kumuua huyo mtu?ikiwa mungu wako anajiweza si ajitetee mwenyewe?
 
Dini nyingine zipo kimchongo tu, yaani peponi kuna mito ya pombe na wanawake bikra 72 kwa kila mwanaume. Hili litakuwa ni danguro la aina yake.
Umesahau papa mstaafu juzi tuu kaomba radhi kwa kusema uongo ili kumlinda mbakaji?
Huko ndio kuna michongo. Wahudumu wa nyumba za ibada ni mwendo wa kufumuliwa marinda na viongozi wanalindana hata kwakusema uongo
 
Watu wa dili ile ni hatari sana. Naishia hapa tu wasije ntumia jini mbaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dini inayolinda viongozi wao kubaka watoto wa kiume ni yakishetani tuu.
Lazima waone ni makaratasi bila kujali kilichomo.
Yesu anasingiziwa mengi
Kuna majini wazuri na wabaya hhaahahhaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], utapewa mabikira saba na maziwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna majini wazuri na wabaya hhaahahhaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], utapewa mabikira saba na maziwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi we ndio yule kijana aliekuwa na padri Sixtus Kimaro kwenye gari pale viwanja vya chuo kikuu siku ileeeee?
 
Umesahau papa mstaafu juzi tuu kaomba radhi kwa kusema uongo ili kumlinda mbakaji?
Huko ndio kuna michongo. Wahudumu wa nyumba za ibada ni mwendo wa kufumuliwa marinda na viongozi wanalindana hata kwakusema uongo

Sisi wakristo hatujali utakacho kifanya
Sisi tunajua anaye ukumu ni Mungu peke yake wala sio sisi
Kama umekosa kama aujakosa yanakuhusu wewe na Mungu wako sisi

Ila ninyi ndugu zetu sijui kama ninyi ndo Miungu watu au
 
Umesahau papa mstaafu juzi tuu kaomba radhi kwa kusema uongo ili kumlinda mbakaji?
Huko ndio kuna michongo. Wahudumu wa nyumba za ibada ni mwendo wa kufumuliwa marinda na viongozi wanalindana hata kwakusema uongo
Shehe wetu wa mkoa kashaachana na "bwana" wake?
 
Dini za hovyo, watu wa hovyo
Sitasahau jinsi nilivyotaka kuchinjwa kisa kuiacha dini ya Mwenyezimungu.
Stupid religion.
Mungu wao ashindwe kuniadhibu, wao wanataka kuniadhibu kifo.
Daaah...nimecheka sana, eti "Mungu wao ashindwe kuniadhibu, wao wanataka kuniadhibu kifo" [emoji1787]
 
Dini nyingine zipo kimchongo tu, yaani peponi kuna mito ya pombe na wanawake bikra 72 kwa kila mwanaume. Hili litakuwa ni danguro la aina yake.
[emoji16] inamaana we hutaki kwenda kuserebuka pombe za kumwaga na kusasambua bikra 72 peponi [emoji848][emoji38]
 
Kuna majini wazuri na wabaya hhaahahhaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], utapewa mabikira saba na maziwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna majini makafiri pia wanaabudu miungu watatu
 
Kuna majini wazuri na wabaya hhaahahhaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], utapewa mabikira saba na maziwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kitabu chenyewe kinacholindwa ndani yake kuna sura maalum ya majini.
 
Kuna majini wazuri na wabaya hhaahahhaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], utapewa mabikira saba na maziwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mabikra sabini, mito ya asali, mito ya pombe.
Daaaahhh.
Ni vitu vidhaifu sana, hata Mo Dewj anaweza kuvipata kirahisi akiwa hapa duniani
 
Kwahiyo walishindwa kumsomea albadili ili mungu mwenye kitabu chake amwazibu yeye kam yeye...au mungu butu anaomba asaidiwe kutoa hukumu na binadamu dhaifu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mabikra sabini, mito ya asali, mito ya pombe.
Daaaahhh.
Ni vitu vidhaifu sana, hata Mo Dewj anaweza kuvipata kirahisi akiwa hapa duniani
Peponi ni mwendo wa miguno ya kimahaba tu..nasikia hao bikra 70 nao wanakuja na vijakazi 80...halafu wanawake wanao enda peponi wao kazi yao nini?au na wao kila mmoja atapewa vidume 70..sipati picha pepo itakua kama brothel kwa miguno na kupigana miti na harufu.

Anyway dini ni ulevi kama madawa ya kulenya tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…