Acha ujinga wewe. Kichaa wa miaka 15 huwezi muua kwa bahati mbaya.Heading ilitakiwa isome chizi auliwa na jamii kwa bahati mbaya ya kutojua kuwa alifanya uchizi
Sasa hapo kulikuwa na haja gani kumuua huyo mtu?ikiwa mungu wako anajiweza si ajitetee mwenyewe?Mtu mmoja ameuawa na kundi la watu kwa madai ya kuchoma kurasa za Koran katikati mwa Pakistan, Khanewal, polisi wanasema, katika tukio la hivi karibuni la vurugu zinazohusiana na kukufuru ama kukashifu dini nchini humo.
Polisi wanasema zaidi ya watu 80 wamekamatwa kuhusiana na mauaji hayo siku ya Jumamosi katika Wilaya ya Khanewal katika Mkoa wa Punjab.
Ripoti zinasema kuwa mtu huyo alikuwa chini ya ulinzi wa polisi kabla ya umati wa watu kumteka na kumuua kwa kipigo. Mwili wake ulikabidhiwa kwa familia yake na mazishi yaliyofanyika siku ya Jumapili.
Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan amesema suala hilo: "Litashughulikiwa kikamilifu kwa mujibu wa sheria" na kuomba ripoti juu ya maafisa wa Polisi wanaotuhumiwa kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao wa kumwokoa mtu huyo.
Munawar Gujjar, mkuu wa kituo cha polisi mjini Tulamba, ambako tukio hilo lilitokea, aliliambia Shirika la Habari la AP kwamba mwathiriwa huyo: "alikuwa na matatizo ya akili kwa miaka 15 iliyopita".
Source: BBC
View attachment 2118991
Kwahiyo alla hawezi kujitetea mpaka watu wamtetee?Akafie mbelee uko kuna vitu vya kuchoma moto
Angekusanya hata majani angechoma
Umesahau papa mstaafu juzi tuu kaomba radhi kwa kusema uongo ili kumlinda mbakaji?Dini nyingine zipo kimchongo tu, yaani peponi kuna mito ya pombe na wanawake bikra 72 kwa kila mwanaume. Hili litakuwa ni danguro la aina yake.
Vita vya msalaba mungu wenu alikuwa likizo?Sasa hapo kulikuwa na haja gani kumuua huyo mtu?ikiwa mungu wako anajiweza si ajitetee mwenyewe?
Kuna majini wazuri na wabaya hhaahahhaahDini inayolinda viongozi wao kubaka watoto wa kiume ni yakishetani tuu.
Lazima waone ni makaratasi bila kujali kilichomo.
Yesu anasingiziwa mengi
Vipi we ndio yule kijana aliekuwa na padri Sixtus Kimaro kwenye gari pale viwanja vya chuo kikuu siku ileeeee?Kuna majini wazuri na wabaya hhaahahhaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], utapewa mabikira saba na maziwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umesahau papa mstaafu juzi tuu kaomba radhi kwa kusema uongo ili kumlinda mbakaji?
Huko ndio kuna michongo. Wahudumu wa nyumba za ibada ni mwendo wa kufumuliwa marinda na viongozi wanalindana hata kwakusema uongo
Shehe wetu wa mkoa kashaachana na "bwana" wake?Umesahau papa mstaafu juzi tuu kaomba radhi kwa kusema uongo ili kumlinda mbakaji?
Huko ndio kuna michongo. Wahudumu wa nyumba za ibada ni mwendo wa kufumuliwa marinda na viongozi wanalindana hata kwakusema uongo
Daaah...nimecheka sana, eti "Mungu wao ashindwe kuniadhibu, wao wanataka kuniadhibu kifo" [emoji1787]Dini za hovyo, watu wa hovyo
Sitasahau jinsi nilivyotaka kuchinjwa kisa kuiacha dini ya Mwenyezimungu.
Stupid religion.
Mungu wao ashindwe kuniadhibu, wao wanataka kuniadhibu kifo.
[emoji16] inamaana we hutaki kwenda kuserebuka pombe za kumwaga na kusasambua bikra 72 peponi [emoji848][emoji38]Dini nyingine zipo kimchongo tu, yaani peponi kuna mito ya pombe na wanawake bikra 72 kwa kila mwanaume. Hili litakuwa ni danguro la aina yake.
Kuna majini makafiri pia wanaabudu miungu watatuKuna majini wazuri na wabaya hhaahahhaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], utapewa mabikira saba na maziwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kitabu chenyewe kinacholindwa ndani yake kuna sura maalum ya majini.Kuna majini wazuri na wabaya hhaahahhaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], utapewa mabikira saba na maziwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi nilijua ukichona kurana unageuka chizi au mnyama anayetisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua jamaa ni wangese sana.Daaah...nimecheka sana, eti "Mungu wao ashindwe kuniadhibu, wao wanataka kuniadhibu kifo" [emoji1787]
Mabikra sabini, mito ya asali, mito ya pombe.Kuna majini wazuri na wabaya hhaahahhaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], utapewa mabikira saba na maziwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana ndugu. Hope umepona hiyo trauma!Sitasahau jinsi nilivyotaka kuchinjwa kisa kuiacha dini ya Mwenyezimungu.
Peponi ni mwendo wa miguno ya kimahaba tu..nasikia hao bikra 70 nao wanakuja na vijakazi 80...halafu wanawake wanao enda peponi wao kazi yao nini?au na wao kila mmoja atapewa vidume 70..sipati picha pepo itakua kama brothel kwa miguno na kupigana miti na harufu.Mabikra sabini, mito ya asali, mito ya pombe.
Daaaahhh.
Ni vitu vidhaifu sana, hata Mo Dewj anaweza kuvipata kirahisi akiwa hapa duniani