Kwa hiyo unakubali manara yuko pale yanga kwasababu ya kusaka tonge, hana mapenzi na club?
Na ndio maana namuita snitch imagine yale yote mabaya aliyoyaongea kuhusu yanga wakati akiwa simba afu leo anasema yeye ni mwananchi damuKwa upande wangu simkubali aiseee namuona msaka maslah tu
Na ndio maana namuita snitch imagine yale yote mabaya aliyoyaongea kuhusu yanga wakati akiwa simba afu leo anasema yeye ni mwananchi damu
Mnajitekenya na kucheka wenyewe, mnayo pesa gani nyie ya kuvunja mkataba wa Aucho? Kama mnavizia wachezaji waliomaliza mikataba ndo mnasajili iwe kuvunja mkataba wa mchezaji Kama Aucho, Mnalishana ujinga eti alisaini miezi 6, hivi mnayo akili sawasawa nyie? Mchezaji Kama aucho aliekuwa anawindwa na vilabu vikubwa tukapambana kumpata kwa mbinde alafu tungempa mkataba mfupi si ingekuwa kichekesho cha mwaka!! Sasa si mnasema mkataba wake unaisha january anakwenda simba ngoja tuwasubili mumchukue Kama mnayo jeuri ya kuuvunja mkataba wake, mda mwingine mnakuwa na propaganda za kitoto Sana ambazo mwenye akili robo ndo atakubaliana nazo, na labda nikwambie tu simba kwa sasa hana ubavu wa kuchukua mchezaji wa yanga otherwise tuwe atuna mpango nae!Habari kutoka vyanzo vya kuaminika kutoka Uganda zinasema kiungo anayekipiga Yanga huenda akajiunga na Simba dirisha dogo
Pia habari zinaonyesha kuwa mkataba aliosaini kunako clab ya Yanga ni wa kubumba kama aliowahi kufanyiwa Benard Morison
Habari zaidi zinakuja
Mpe mkono mshindane.Mnajitekenya na kucheka wenyewe, mnayo pesa gani nyie ya kuvunja mkataba wa Aucho? Kama mnavizia wachezaji waliomaliza mikataba ndo mnasajili iwe kuvunja mkataba wa mchezaji Kama Aucho, Mnalishana ujinga eti alisaini miezi 6, hivi mnayo akili sawasawa nyie? Mchezaji Kama aucho aliekuwa anawindwa na vilabu vikubwa tukapambana kumpata kwa mbinde alafu tungempa mkataba mfupi si ingekuwa kichekesho cha mwaka!! Sasa si mnasema mkataba wake unaisha january anakwenda simba ngoja tuwasubili mumchukue Kama mnayo jeuri ya kuuvunja mkataba wake, mda mwingine mnakuwa na propaganda za kitoto Sana ambazo mwenye akili robo ndo atakubaliana nazo, na labda nikwambie tu simba kwa sasa hana ubavu wa kuchukua mchezaji wa yanga otherwise tuwe atuna mpango nae!
Mi mzma.
nakukubali sana we mrembo.
Angalia sukari itashuka.Mnajitekenya na kucheka wenyewe, mnayo pesa gani nyie ya kuvunja mkataba wa Aucho? Kama mnavizia wachezaji waliomaliza mikataba ndo mnasajili iwe kuvunja mkataba wa mchezaji Kama Aucho, Mnalishana ujinga eti alisaini miezi 6, hivi mnayo akili sawasawa nyie? Mchezaji Kama aucho aliekuwa anawindwa na vilabu vikubwa tukapambana kumpata kwa mbinde alafu tungempa mkataba mfupi si ingekuwa kichekesho cha mwaka!! Sasa si mnasema mkataba wake unaisha january anakwenda simba ngoja tuwasubili mumchukue Kama mnayo jeuri ya kuuvunja mkataba wake, mda mwingine mnakuwa na propaganda za kitoto Sana ambazo mwenye akili robo ndo atakubaliana nazo, na labda nikwambie tu simba kwa sasa hana ubavu wa kuchukua mchezaji wa yanga otherwise tuwe atuna mpango nae!
X mass mwez wa mapinduziKolo msimu huu mtateseka sana na tabiri uchwara
Mandingo yangu ipo inakusubiri shosti,nshaipaka m.congoshosti angalia vizuri ka mbusus hako sio dingo
Jamaa nadhani na ye yewe yanaujua huu ukweli kua haiwezekani lkn yameamua kuja na hii propaganda ili kuzima suala la udhamini wa GSM na kupiga counter attack suala la chama.Mnajitekenya na kucheka wenyewe, mnayo pesa gani nyie ya kuvunja mkataba wa Aucho? Kama mnavizia wachezaji waliomaliza mikataba ndo mnasajili iwe kuvunja mkataba wa mchezaji Kama Aucho, Mnalishana ujinga eti alisaini miezi 6, hivi mnayo akili sawasawa nyie? Mchezaji Kama aucho aliekuwa anawindwa na vilabu vikubwa tukapambana kumpata kwa mbinde alafu tungempa mkataba mfupi si ingekuwa kichekesho cha mwaka!! Sasa si mnasema mkataba wake unaisha january anakwenda simba ngoja tuwasubili mumchukue Kama mnayo jeuri ya kuuvunja mkataba wake, mda mwingine mnakuwa na propaganda za kitoto Sana ambazo mwenye akili robo ndo atakubaliana nazo, na labda nikwambie tu simba kwa sasa hana ubavu wa kuchukua mchezaji wa yanga otherwise tuwe atuna mpango nae!
Mandingo yangu ipo inakusubiri shosti,nshaipaka m.congo
hawa jamaa Kila kukicha aucho,nikama watu wa bifu flan hivi,Hii timu ikiona mchezaji mzuri wa yanga wanamtamani. Kwa nn wasitamani wachezaji wa timu zingine kama Esperance, Kaizer Chiefs, Al Ahly, Mazembe n.k wao ni yanga tu. Yana roho mbaya yanataka Yanga ife ili yatawale soka la Tz
Pindi Morrison yupo yanga,walimponda sana,mchezaji gani huyu,anakimbia kimbia tu,ghafla wakamchota,nikashangaa wanaanza,huyu mchezaji ni noma,hakamatiki,na shangwe kibao,Simba walikuwa na ndoto za kuipoteza yanga ili watawale wao soka hapa tz kitu ambacho hakiwezekani.Hii timu ikiona mchezaji mzuri wa yanga wanamtamani. Kwa nn wasitamani wachezaji wa timu zingine kama Esperance, Kaizer Chiefs, Al Ahly, Mazembe n.k wao ni yanga tu. Yana roho mbaya yanataka Yanga ife ili yatawale soka la Tz
Hivi kipindi Cha dirisha la usajili aucho hamkumuona?Hata kama hamuitaji, lakini kwa uelewa wako wewe wa hiki kiwango chetu kidogo cha soka la bongo Aucho anaweza akakosa namba Simba?