Barbara ndiye anamuhitaji AuchoKocha anamuhitaji Aucho?
Watajifanya hawaoni
Simba hula SwalaHata wew tunakutamani,ni swala la mda tu
Huyu akawakabe magiantIsrael Patrick Mwenda
Ww unatakaje,Kumbe kweli mnahonga timu pinzani zitukamie.
Vitimu vyenu mlivyovihonga vimekula umeme mfululizo vimetulia
Anaweza vizuri anachohitaji ni kupewa proper coaching tu na kucheza katika mfumo sahihi.Huyu akawakabe magiant
Zamaleki na Mamelody?
Labda kama leo sio kufika nusu fainal klabu bingwa.