Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
"Nafikiri ndiye mchezaji pekee ambaye hayupo yanga, natamani kucheza nae sababu napenda watu wanafanya mchezo kuwa rahisi.
Kama akija sawa na asipokuja pia sawa. Namfahamu nilianza kumtazama Chama tangu nikiwa misri."
Aucho aliongea hayo akijibu swali la mwandishi juu ya tetesi za chama kusaini mkataba wa mwaka 1 kuwatumikia Wananchi wa Jangwani (Yanga sc)
Kama akija sawa na asipokuja pia sawa. Namfahamu nilianza kumtazama Chama tangu nikiwa misri."
Aucho aliongea hayo akijibu swali la mwandishi juu ya tetesi za chama kusaini mkataba wa mwaka 1 kuwatumikia Wananchi wa Jangwani (Yanga sc)