Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Crown za zamani kidogo, zina body ( sijui ndio mnaita mabati ), ni magumu kishenzi, unaeza pigwa na anaekupiga ndio anaumia. Labda crown hizi latest ndio zina body nyepesi, na hii ni kwa magari mengi ya kisasa, sio yamekuwa body utopoloNi kweli
ndio maana zinauzwa bei ghali kuliko Audi huko kwenye soko la mitumba.
Hata mie nimwshangaa,Crown zina body imara sana ( na ngumu ), hasa zile za matoleo ya nyuma. Tukija kwa gari hizi ( latest nyingi body ni utopolo, sio gari za ulaya wala japan, body zinekuwa nyanaya kabisa ).Daah hizi zitakua ni crown zinazozalishwa huko mogadishu labda.
Nahisi pia na utunzaji wa muhusika. Crown zipo chini, kama mtumiaji yupo hovyo hovyo haichukui mda kukaa kwenye hali yake ya upya. Hii ni kwa gari yoyote ile hata ulaya pia. Matunzo muhimu sanaZipo nyingi sana.
Nimeona moja namba D, mabati yananing'inia chini.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
body za zamani zilikuga gauge za mapipa zile 😁😁😁 ukigongwa na gari lazma ufe! Ila sikuhizi majeruhi kibao 😁😁😁Crown za zamani kidogo, zina body ( sijui ndio mnaita mabati ), ni magumu kishenzi, unaeza pigwa na anaekupiga ndio anaumia. Labda crown hizi latest ndio zina body nyepesi, na hii ni kwa magari mengi ya kisasa, sio yamekuwa body utopolo
😀😀😀 sasa hivi body zote zimekuwa soft sana, si ulaya , america wala japan. Body zimekuwa nyanya tu, wanacho jaribu ni kuongeza electronics safety features kwa kiasi kikubwa sana kwenye gari. Kama hata ukiangalia Features kama za Lexus Ls 500h au MerdezBenz Maybach S650.. utaona mwenyewe security imeamia kwenye electronics zaidi na sio mechanicalbody za zamani zilikuga gauge za mapipa zile 😁😁😁 ukigongwa na gari lazma ufe! Ila sikuhizi majeruhi kibao 😁😁😁
Sababu ni zile zile IST inauzwa bei kuliko Crown zikishatumika Bongo. Used market wanaangalia bei poa, isile mafuta na isiwe na usumbufu. Kumbuka tunaonunua used ni wa hali ya kawaida. Pia watu wanaangalia uwepo wa mafundi wa bei rahisiWatu kwakisikia machine ya Mjerumani wanapagawa kweli. Hizo Bmw 3 series na huyo Audi A4 kwenye soko la used cars wanabei za kawaida sana kuliko hata gari za TOYOTA .
Leo nimeona Alphard namba DUP.. bampa la chini linaning'inia.Nahisi pia na utunzaji wa muhusika. Crown zipo chini, kama mtumiaji yupo hovyo hovyo haichukui mda kukaa kwenye hali yake ya upya. Hii ni kwa gari yoyote ile hata ulaya pia. Matunzo muhimu sana
Inawezekana kabisa, ila sio Toyota zote na utunzaji pia ni muhimu. Kuna Merced Benz na kuna BMW zipo hoi body zao, ni kutokana na utunzaji wao mkuu.Leo nimeona Alphard namba DUP.. bampa la chini linaning'inia.
Vigari vya toyota nyanya sana.
🤣🤣🤣🤣🤣 hatari sana!body za zamani zilikuga gauge za mapipa zile 😁😁😁 ukigongwa na gari lazma ufe! Ila sikuhizi majeruhi kibao 😁😁😁
Ongeza Sauti Mkuu huku Backbenchers bado hatujakupata vizuriKwa kifupi tu:
Audi ni Slayqueen mrembo sana mbwembwe nyingi na gharama za hali ya juu. Havumili shida hata kidogo.
Crown ni wife material ila mrembo asilia au natural. Anavumilia hata wakati wa shida.
Ni hayo tu...kama una akili utajiongeza.
Ngumu kumeza hiiCrown ni verosa lililochangamka....hii gari inaporomoka mdogo mdogo heshima
🤣🤣🤣Kwa kifupi tu:
Audi ni Slayqueen mrembo sana mbwembwe nyingi na gharama za hali ya juu. Havumili shida hata kidogo.
Crown ni wife material ila mrembo asilia au natural. Anavumilia hata wakati wa shida.
Ni hayo tu...kama una akili utajiongeza.
VOL..MAXOngeza Sauti Mkuu huku Backbenchers bado hatujakupata vizuri
Nadhani siku wakikusikia watakua wameshakua mishamba darasaVOL..MAX
Ukiwa na ajira hakuna gari mbaya ila ukiwa na kibarua lazma gari ikutese.Msitishe wtu nyie ,nilitaka kumiliki Subru nilitishwa sana,ila gari ni matunzo tu,ndugu yangu anyo mwaka wa 12 huu sijawahi kumuona akilia lia na zaidi ni kuisifia tu ila anazingatia sevice tu
Wazee wa Xmas tree tunakusalimiaUkiwa na ajira hakuna gari mbaya ila ukiwa na kibarua lazma gari ikutese.
Mkuu wangu mara nyingi unakuta tatizo hata siyo gari bali ni mkono wa mtu, kuna watu wanaendesha magari rough sana. European cars especially hz sedan siyo rafiki sana wa rough driving kwenye barabara zetu. Kama Audi ukiiendesha barabara za kimara zilivyo mbovu unaweza pata pressure.Leo nimeona Alphard namba DUP.. bampa la chini linaning'inia.
Vigari vya toyota nyanya sana.
Pamoja sana bana si tunatamba na TOYOPET mpka kiwanda kifungweWazee wa Xmas tree tunakusalimia