central midfielder
Senior Member
- Apr 14, 2023
- 146
- 215
Mb Dogg, Si UlinambiaMb Dog Latifa
Latifah kila mtu aliijuaAUDIO BATTLE.
Ngwair She got gwan vs Mb Dog Latifa. Ipi ilikuwa hatari zaidi wakati ule? Ipi ilikimbiza zaidi wakati inatoka?
Kwako ipi ilikuwa noma zaidi?
She got gwan vs Latifa.
#forgive me.
Umeambiwa She got a gwan vs Latifa sasa hiyo nyingine imeingiaje?Mb Dogg, Si Ulinambia
kwangu ilikua noma kuliko Latifa
Beat, gitaa na vinanda vimesimama sana
sababu Latifa siipendi, nikaweka ya kwanguimeingiaje?
Kuna unyama mtu mwenye jina Latifah alikufanyiasababu Latifa siipendi, nikaweka ya kwangu
hahaha hapanaKuna unyama mtu mwenye jina Latifah alikufanyia
Aaah Sawa kwa hiyo Latifa alikuambia anakuja akalala winga.hahaha hapana
Si Ulinambia ilifanya nyimbo nyingine za huyo kamanda nisizipende tena
hapana, Latifa basi naipenda, ila kwangu haifikii Si Ulinambia, hasa upande wa Instrumentals, kuna basslines za kinyama sanaAaah Sawa kwa hiyo Latifa alikuambia anakuja akalala winga.
Dog Man from Makuburi alifukua memories mbaya kwa mwenyekiti. ππ
Noma sana Dog an anajua sana.hapana, Latifa basi naipenda, ila kwangu haifikii Si Ulinambia, hasa upande wa Instrumentals, kuna basslines za kinyama sana
[emoji1787][emoji1787] si bure Bibie Latifah aliurarua Moyo wako kama karatasi,sababu Latifa siipendi, nikaweka ya kwangu
hapana, mimi team nyeto[emoji1787][emoji1787] si bure Bibie Latifah aliurarua Moyo wako kama karatasi,
Ww ipi ilikuwa kali kwako?Kibongo bongo wanawake ndio wanao amua ukubwa wa nyimbo
Yaani wanawake wakiupenda wimbo utakua mkubwa kweli kweli na utapendwa hadi na watoto
Wanawake wengi kibongo sio wapenzi sana wa hip hop ingawa wana vibe nazo kimtindo
Zote zilikua nyimbo kubwa sana lakini Latifa iliimbwa na kila mtu hadi watoto
MB Dog alikua untouchable kwenye peak yake aliteka kila sikio la mpenda muziki
Ngwea kwenye hip hop She gat gwan ilikua haina mpinzani kwasababu aliimba zaidi ya kuchana na wimbo ukaeleweka na wengi