Audio: Mwijaku oyeee, hatimaye lisukule lamjibu Mwijaku, lakiri liliajiriwa simba

Audio: Mwijaku oyeee, hatimaye lisukule lamjibu Mwijaku, lakiri liliajiriwa simba

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Kudadadadeeeki Mwijaku oyeeeeeeee shikilia hapohapo hapo hapoooooooo Mwijaku kasababisha sukule lopolopo la dunia kukiri kwamba liliajiriwa simba jamaa ni BIPOLAR CASE last week lilitoa mkwara kwamba linafungua case kwa kufanyishwa kazi bila kuajiriwa leo linakiri kwamba limeajiriwa

kwenye audio hii LOPOLOPO BIPOLAR SUKULE LA DUNIA linamuambia Dc MWIJAKU kwamba" hushangai unamsema mtu hakujibu? DOES THAT SOUND FAMILIAR?... MO NA BARBRA WALISHAKUJIBU KWANI? ulitaka wakujibu ? MO katoka wapi kwenye kesi yako wewe na Mwijaku?

hovyooooooo na kule sub kuna MHAMASISHAJI ANAITWA dr kumbuka SOON NAYE ANAINGIA UWANJANI
hao ndiyo level zako jiheshimu wewe jinga Mo siyo level zako za kumtajataja hovyo as if unawataja ex wives wako waliokukimbia, deal na Mwijaku

TULIJUA TU, NI MWEPESI MNO KUGHADHIBIKA AKIPEWA KELBU ZA UHAKIKA ILA LENYEWE KILA SIKU KUTUKANA WATU ..ULIMPA JINA MWAKALEBELA LA KILOGRAM 800 HADI LEO LIMEMKAA WEWE UKAITWA MSUKULE NA NUGAZ UKAENDA LIA KWA MABOSS WA GSM HADI WAKAMFUTA KAZI

MWIJAKU SHIKILIA HAPOJAPO

GENTAMYCINE UMEONA MATUNDA YA DC MWIJAKU?? NGUMI MOJA YA CHEMBE JITU LIMEKIRI KUMBE LILIKUWA LIMEAJIRIWA SIMBA
 

Attachments

  • lopolopo sukule la dunia niliajiriwa simba.mp4
    1.7 MB
Mwijaku hafai labda kama ameingizwa hapa kwa kumjibu Manara Ila kiuhalisia hafai kuwa hapo
 
Mwijaku hafai labda kama ameingizwa hapa kwa kumjibu Manara Ila kiuhalisia hafai kuwa hapo
kama pigo lake moja tu limemfanya msukule kukiri aliajiriwa simba naomba naomba na dr kumbuka hata Gigy money waongezwe who cares kwa sasa? Hilo sukule linaishi mjini kwa kutukana watu achana adeal ana watukanaji wenzake
 
Uyanga wangu hauniondolei kuwa ninacheka sana ninapoona ndg.yetu Buggati amempata SAIZI YAKE.....🤣🤣🤣

Pamoja na yote Mwijaku na Manara wanafanana tu.....wote wazee wa "pang'ang'a" ila WANAFURAHISHA.....BINAFSI HUWA WANANIBURUDISHA MNO....🤣

Go go go Bugatti....
Go go go Mwijaku...


#DaimaMbeleNyumaMwiko
#1935ForEver
 
Uyanga wangu hauniondolei kuwa ninacheka sana ninapoona ndg.yetu Buggati amempata SAIZI YAKE.....🤣🤣🤣

Pamoja na yote Mwijaku na Manara wanafanana tu.....wote wazee wa "pang'ang'a" ila WANAFURAHISHA.....BINAFSI HUWA WANANIBURUDISHA MNO....🤣

Go go go Bugatti....
Go go go Mwijaku...


#DaimaMbeleNyumaMwiko
#1935ForEver
umemsikia lakini amekiri kwamba aliajiriwa na simba?huyu amaa siyo mwendawazimu kweli????lilikuwa linataka Mo na Barbara wamjibu kaletewa wajinga wenzake wacheze chandimu huko wakati kina Mo na CEO wanafanya kazi za kikubwa ki executive zaidi
 
Ulichoandika na hiyo audio tofauti,em kuweni siriaz na hii wikiend pesa nyingi huku kwenye kubet,Manara anatembelea V8,Mwijaku nae shepu lake linampa maisha hapa mjini sisi wa ID fake tuna nini lkn?
 
Msukule ana nafsi nyepesi ukimjambisha kidogo tu anapanick.
Yaani hapo alipompiga mkwara mwijaku ndipo kakosea sasa...siku zote huw anasema huyu jamaa ni mfano halisi wa msemo NYANI HAONI KUNDULE for years huwa anapata free pass , hii bampa to bampa inampa shida, yaani dongo moja tu kalalamika hivyo huyu mwehu anayetukana watu hovyohovyo kila siku for years?
 
Ulichoandika na hiyo audio tofauti,em kuweni siriaz na hii wikiend pesa nyingi huku kwenye kubet,Manara anatembelea V8,Mwijaku nae shepu lake linampa maisha hapa mjini sisi wa ID fake tuna nini lkn?
bando la kusikiliza audio unalo?umesikiliza kweli mkuu au uko freebasics??? tafuta hata bando la 500 ukasikilize....huyo anayetembelea v8 kutwa anshinda mtandaoni kumtukana tajiri namba 13 africa anayetokeaga kwenye cover za Forbes magazine...hopeless kabisa..sasa hajajibiwa na Mo wa CEO kajibiwa na mwijaku...he has to stay on his lane kama anaona haitoshi atajibiwa na dr kumbuka akumbukushwe kusafisha mimeno ile ya njano
 
Manara kila akibanwa humtaja MUNGU....kwani nani hupangiwa maisha na shetani ?!!! 🤣🤣🤣

#DaimaMbeleNyumaMwiko
Huwa haonagi makosa yake kamwe, Its just a matter of time utasikia sasa hivi anaingiza waislamu kwenye ugomvi wake kama alivyowalilia kipindi Murro kampa makavu au Haasan Bumbuli alipompa makavu kaanza kulia kwa jamii kwamba kadhalilishwa na Bumbuli sababu yeye ni mlemavu wa ngozi
 
umemsikia lakini amekiri kwamba aliajiriwa na simba?huyu amaa siyo mwendawazimu kweli????lilikuwa linataka Mo na Barbara wamjibu kaletewa wajinga wenzake wacheze chandimu huko wakati kina Mo na CEO wanafanya kazi za kikubwa ki executive zaidi
Kampata mwenzake wa majibizano.....

Bampa to bampa 🤣🤣🤣

#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Huwa haonagi makosa yake kamwe, Its just a matter of time utasikia sasa hivi anaingiza waislamu kwenye ugomvi wake kama alivyowalilia kipindi Murro kampa makavu au Haasan Bumbuli alipompa makavu kaanza kulia kwa jamii kwamba kadhalilishwa na Bumbuli sababu yeye ni mlemavu wa ngozi
🤣🤣
Ndugu yetu Kamarada Buggati ana "kishipa" cha hulka ya kipekee....watu wanaoweza kupambana naye ni wale tu WANAOFANANA NAYE HULKA 🤣

Kongole Madame CEO Barbara kwa "usajili adhimu kabisa" wa kamarada Mwijaku....🤣

BAMPA TO BAMPA
VUMBI TO VUMBI

#DaimaMbeleNyumaMwiko
#1935ForEver
 
bando la kusikiliza audio unalo?umesikiliza kweli mkuu au uko freebasics??? tafuta hata bando la 500 ukasikilize....huyo anayetembelea v8 kutwa anshinda mtandaoni kumtukana tajiri namba 13 africa anayetokeaga kwenye cover za Forbes magazine...hopeless kabisa..sasa hajajibiwa na Mo wa CEO kajibiwa na mwijaku...he has to stay on his lane kama anaona haitoshi atajibiwa na dr kumbuka akumbukushwe kusafisha mimeno ile ya njano
Alaaa kwa hiyo Simba mmeamua kumsajili hadi Dr.Kumbuka kuongeza uzito wa mtifuano wa maneno dhidi ya ndg.yetu Buggati ?!!! 🤣🤣🤣
 
Manara hapa kachemsha. Mbona anachokifanya Mwijaku ni kama anachokifanya Manara kwa Mwamedi. Kumbe Manara inamtouch kutokujibiwa na Mwamedi. Ila yeye kaonyesha ufala sana kumjibu Mwijaku. Manara hana chawa wake kwani ?Mwijaku ni chawa wa Mwamedi.
 
Back
Top Bottom