Audio: Wasanii kuhama UKAWA kurudi CCM, nini maana yake?

bwana mwenye hela mchune bt unayempenda kura uhuhuuu ukawa hoyeeeee
 
Juma mwenyewe kasema yeye anafuata maslahi.
 
Kwikwikwi .Ukawa mtajinyea mwaka huu.
 
Msanii ATAPIGIA TU KURA UKAWA ila kazi atafanya CCM
 
ukawa wana concious artists tu, songa,incredible,niki mbishi,zaiid, danny msimamo, roma, kallah jeremiah n.k
 
Chezea Pesa wewe...zimemnunua Dr Mihogo...hapana mchezo kabsa
 
wacha waende tu sisi hatutoi hela..
Kama walitaka hela basi sisi hatuna hela, sisi ni ukombozi na mabadiliko tu
unauhakika hamtoi hela au wewe ndo hujazipata?
 
Ni vizuri wamegundua kosa kubwa kubwa sana walilotakakulifanya na wamelirekebisha mapema. Hapa kazi tuuuuuuuuuuuuuuu
 
hili sio jukwaa la siasa mnafanya mambo ya ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…