kikubwa anachoangalia ni kama documentation za hesabu zenu zipo kama inavyotakiwa,let say umefanya malipo fulani kwa watu fulani,yeye atataka kuthibitisha kama malipo hayo yalifanyika kweli kwa kuangalia mikululo ya watia saini au kama umenunua vitu fulani,ataangalia kama una supporting documents kama vile risiti,pia ataangalia kama misingi na sheria za kiuhasibu inazingatiwa na kufuatwa, mkuu be free usimuogope,relax tu mkuu cha muhimu weka documentation sawia