August Alsina kuacha kufanya muziki?

August Alsina kuacha kufanya muziki?

Chaos Master

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2021
Posts
636
Reaction score
1,310
August Alsina kuacha kufanya muziki?
Staa wa Pop na Rnb kutoka Marekani @augustalsina Ametangaza kuwa kazi zake mpya zijazo ndio za mwisho kutoka kwake baada ya hapo ataacha kufanya muziki.
-
Ktk IG Yake aliandika, 'Kwa wote wanaonipa ushirikiano, hizi kazi mpya zitakuwa za mwisho kutoka kwa August Alsina, matumaini yangu ni kuendelea kuburudika na nyie wakati niko hapa, nitajitahidi kutengenezaa kazi bora kwaajili yenu". Kauli hii imeogopesha mashabiki wanaofatilia hali ya afya ya Alsina ambaye anaugua ugonjwa hatari wa Maini kwa muda mrefu.
 
Hakua jipya, hata Jay Z alishatangazaga kuacha muziki lakini mpaka leo bado anadumu...
 
Nimeona post yake hiyo,nimejipa matumaini kwamba labda ni lyrics zilizopo kwenye moja ya nyimbo yake
Hope yuko poa

Mie ni mdau wa nyimbo zake...so far hana nyimbo mbaya,hata alizoshirikishwa nazo tamu kinyama

RReigns unakumbuka hii nyimbo?








Chaliifrancisco ulinidediketiaga 😁
 
Dah mimi ni fan mkubwa sana wa huyu jamaa ..kumbe ni mgonjwa, nyimbo zake siachi kuskiza aise.
Mungu ampe afya tena apone mapema.
 
Nimeona post yake hiyo,nimejipa matumaini kwamba labda ni lyrics zilizopo kwenye moja ya nyimbo yake
Hope yuko poa

Mie ni mdau wa nyimbo zake...so far hana nyimbo mbaya,hata alizoshirikishwa nazo tamu kinyama

RReigns unakumbuka hii nyimbo?








Chaliifrancisco ulinidediketiaga 😁

Yaah.... Ila sidhani aisee wanasemaga hvyo hvyo mwisho wa siku unakuta bado wapo.
 
Back
Top Bottom