Augustine Mrema ni shujaa wa taifa asiyependa ufisadi kama ilivyokuwa kwa rafiki yake hayati Magufuli

Augustine Mrema ni shujaa wa taifa asiyependa ufisadi kama ilivyokuwa kwa rafiki yake hayati Magufuli

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Ufisida ni janga la taifa letu na ni viongozi wachache ambao hujitoa kupinga ufisadi kwa moyo wa dhati.

Lyatonga Mrema alipinga ufisadi kwa maisha yake yote akiwa mtumishi wa umma mpaka sasa akiwa mzee.

Nakumbuka kupewa stori na wazee wa Wanaomfahamu Mrema kupambana na walanguzi na maadui wa taifa hili na kidhibiti wauza dhahabu za magendo miaka ya nyuma alipokuwa Dso Kahama.

Aliibua skendo zito la kifisadi baada ya wanaCcm kuhongwa na Chavda.

Lakini mbali ya hayo alipinga uonevu na uhalifu kiasi cha majambazi kujisalimisha kwa jeshi la polisi kama mbwa anajisalimisha kumezwa na chatu.

Sioni tofauti za hulka za kisiasa za kupinga ufisadi na uonevu alionao Lyatonga Mrema na jinsi hayati JPM aliyvyopinga ufisadi.
image_search_1648229312938.jpg
 
Shujaa angeefunguliwa kesi zote zile na Mkapa?
Au umesahau kwamba alishawahi kuwa na kesi zaidi ya 10 pale kisutu?
Taja shujaa mwingine wa taifa aliyewahi kuwa na kesi nyingi namna ile?
 
Shujaa angeefunguliwa kesi zote zile na Mkapa?
Au umesahau kwamba alishawahi kuwa na kesi zaidi ya 10 pale kisutu?
Taja shujaa mwingine wa taifa aliyewahi kuwa na kesi nyingi namna ile?
That is not the reason dogo.
 
That is not the reason dogo.
Hiyo ni mshirika na mwendesha Chama ndugu na wanachukua chako mape me a(ccm).Sasa anaanzaje kuwa mbali na wanachukua chako mapema hata kama alikuwa na kesi huenda ni kabla ya kufikia makubaliano na wenyewe.
 
Ushujaa gani wa kuua upinzani. Ameiua NCCR ya kina Masumbuko Lamwai akaja akaiua TLP ya kina Leo Lwekamwa.
 
Kama yeye ndie alieviua pia tutambue Yeye ndie alievifufua…TLP haikuwa chochote kabla ya Lyatonga na pia NCCR haikuwa lolote kabla ya Yeye na si chochote baada ya yeye

Ushujaa gani wa kuua upinzani. Ameiua NCCR ya kina Masumbuko Lamwai akaja akaiua TLP ya kina Leo Lwekamwa.
 
Kama yeye ndie alieviua pia tutambue Yeye ndie alievifufua…TLP haikuwa chochote kabla ya Lyatonga na pia NCCR haikuwa lolote kabla ya Yeye na si chochote baada ya yeye
Bado yupo TLP; ina hali gani leo?!
 
Ufisida ni janga la taifa letu na ni viongozi wachache ambao hujitoa kupinga ufisadi kwa moyo wa dhati.

Lyatonga Mrema alipinga ufisadi kwa maisha yake yote akiwa mtumishi wa umma mpaka sasa akiwa mzee.

Nakumbuka kupewa stori na wazee wa Wanaomfahamu Mrema kupambana na walanguzi na maadui wa taifa hili na kidhibiti wauza dhahabu za magendo miaka ya nyuma alipokuwa Dso Kahama.

Aliibua skendo zito la kifisadi baada ya wanaCcm kuhongwa na Chavda.

Lakini mbali ya hayo alipinga uonevu na uhalifu kiasi cha majambazi kujisalimisha kwa jeshi la polisi kama mbwa anajisalimisha kumezwa na chatu.

Sioni tofauti za hulka za kisiasa za kupinga ufisadi na uonevu alionao Lyatonga Mrema na jinsi hayati JPM aliyvyopinga ufisadi.
View attachment 2164309
ACHA UONGO, UONGO NI USHETANI MKUBWA, CHAVDA SCANDAL ILIJULIKANA KUTOKA KWA MBUNGE NGULI,MH.T.M.N.SANGA(rip)kibaraka mrema alidandia nyuma
 
Back
Top Bottom