Augustine Okrah, winga bora zaidi katika soka la Tanzania kwa sasa

Augustine Okrah, winga bora zaidi katika soka la Tanzania kwa sasa

Kaka wa matabasamu mimi ni nani nipinge hilooo. Ana mbio za Duma
 
Unajua nikiwaangalia hawa wachezaji wetu wa 3 Phiri,Okra,Chama hawakupangwa ile derby najiuliza huyu mzungu alikua na nini na sisi. Nasema hivii trh 23 Yang'a mjiandalie majeneza pa kuwazikia ni hapo hapo kwa mkapa
 
Unajua nikiwaangalia hawa wachezaji wetu wa 3 Phiri,Okra,Chama hawakupangwa ile derby najiuliza huyu mzungu alikua na nini na sisi. Nasema hivii trh 23 Yang'a mjiandalie majeneza pa kuwazikia ni hapo hapo kwa mkapa
Kila ikifika derby simba mnakuaga na matokeo yenu tayari[emoji1787][emoji1787].. haya sawa... tarehe 23 si mbali
 
Kila ikifika derby simba mnakuaga na matokeo yenu tayari[emoji1787][emoji1787].. haya sawa... tarehe 23 si mbali
Sasa tunaachaje mkuu ikiwa na nyie mnajiaminisha kumfunga mnyama?
 
Unajua nikiwaangalia hawa wachezaji wetu wa 3 Phiri,Okra,Chama hawakupangwa ile derby najiuliza huyu mzungu alikua na nini na sisi. Nasema hivii trh 23 Yang'a mjiandalie majeneza pa kuwazikia ni hapo hapo kwa mkapa
Chama alicheza, Okrah alicheza, ni Phiri tu ndio hakucheza.
 
Kwangu sipendezwi na mgunda anavyomtumia, kumchezesha kule winga ya kushoot anamfanya asiweze kufanya baadhi ya mambo, kule hawezi kukata kuingia ndani, mguu wake unamfanya akimbie pembeni apige krosi tu, kule ni mwendo wa kupiga krosi tu. Ila angekuwa upande wa kulia anaweza kuingia ndani, kucurve, kushoot na options kibao.
Acheze winga ya kulia ndio atakuwa mzuri zaidi ili akiingia ndani ndio atakuwa na option ya kufanya hayo
 
Unajua nikiwaangalia hawa wachezaji wetu wa 3 Phiri,Okra,Chama hawakupangwa ile derby najiuliza huyu mzungu alikua na nini na sisi. Nasema hivii trh 23 Yang'a mjiandalie majeneza pa kuwazikia ni hapo hapo kwa mkapa
Mzungu mshenzi sana 😂😂alisema kwanza Phiri hafit kwenye mfumo yupo akakaa jukwaan,Chama yupo slow akamtoa fest half , Okrah alimchezesha namba 8😂Mpuuzi yule popote alipo gendaheka yule
 
Kama kawaida yao mburula, watapigwa na yanga ,tar 23 ndio watajua Wana mzoga uliopata faida ya kucheza na viwete, bullets na agost iliyofungwa 6 na namungo
Yanga imekutana na timu ngumu Al hilal ilitingwa fainali 3 za club bingwa na CAF
Tar 23 Kuna dhahma inaenda kutokea
Na team ngumu zolan inamanisha yanga ni team ndogo chuchu konzi
 
Huyu jamaa alisajiliwa kimyakimya na hata gharama za ujio wake hazikuwekwa wazi.

Ameonesha kuwa ni winga mwenye makali ya kimataifa. Ana kasi, pasi za upendo, anaona nafasi katikati ya msitu wa mabeki na ni mpambanaji.

Katika muda mfupi aliopo Simba amefanya wachezaji wengi sana waliopita hapo kusahaulika kwa haraka.

Nuru inaangaza kwa siku zijazo.
Kijana ni moto wa kuotea mbali kama Martinelli wa Arsenal.
 
Kwangu sipendezwi na mgunda anavyomtumia, kumchezesha kule winga ya kushoot anamfanya asiweze kufanya baadhi ya mambo, kule hawezi kukata kuingia ndani, mguu wake unamfanya akimbie pembeni apige krosi tu, kule ni mwendo wa kupiga krosi tu. Ila angekuwa upande wa kulia anaweza kuingia ndani, kucurve, kushoot na options kibao.
Uchambuzi wako ni wa kweli100%. Dogo ana speed kali sana lakini mipira mingi inapotea kwa sababu anatumia mguu mmoja. Na upande wa kulia hakuna mshambuliaji mwenye kasi kama yeye. Mipira mingi inapelekwa kwake na inakuwa mfu. MGUNDA AAMBIWE HILI.
 
Katika wachezaji wote waliosajiliwa na simba ni okrah peke yake ndo kocha zoran mak alisema ni aina ya wachezaji wenye kasi na uwezo wa kushambulia hakimbii kimbii tu kama kisinda na jesus moloko wanakimbia kwenye vibendera tu hawana madhara yoyote
 
Katika wachezaji wote waliosajiliwa na simba ni okrah peke yake ndo kocha zoran mak alisema ni aina ya wachezaji wenye kasi na uwezo wa kushambulia hakimbii kimbii tu kama kisinda na jesus moloko wanakimbia kwenye vibendera tu hawana madhara yoyote
Okrah ni akili kubwa, mpira wa manufaa anaujua.
 
Tofauti yake na Kibu ni rasta tu, mchezaji wa kawaida sana
haaaa,,Kibu tatizo kwakweli ila Okrah ni chombo wewe.
Umejiandaa kumeza aina gani ya dawa ya kupunguza maumivu utakayoyapa baada y kipigo mtakacho kipata j'pili?
Simba 3-0 Uto.

Gide MK
 
Kijana leo angetoa ile pasi basi angekuwa shujaa zaidi. Hongera kwa kufunga goli kwenye derby.
 
Back
Top Bottom