Amechoka huyu, hivi kiinua mgongo ameshapata?
Ndiyo maagizo aliyopewa toka Lumumba ili alipwe kile kiinua mgongo cha wadhifa feki wa naibu waziri mkuu, njaa mbaya sanahata kabla ya kufa wagonjwa uonekana wananafuu then wanazima moja kwa moja, najua amejitokeza ili afe vizuri sasa. ila akumbuke kuacha wosia katika siasa maana amesha piga chini
Huyo ni kigeugeu kama nywele.