Wananchi wangu wa Vunjo na wananchi wengine wanachotaka ni suluhu ya utatuzi wa matatizo yao wingi Serikali hauwasaidii kitu. Hii kudai serikali tatu haisaidii katika kutatua matatizo ya mwananchi moja kwa moja.
Alama za mnafiki tatu: (1) Anapo ahidi hatekelezi (2) Anaposema anasema uongo (3) Anapoambiwa haki anaenda mbali na haki Alisema Mhe. Mrema bila ya kufafanua
Alama za mnafiki tatu: (1) Anapo ahidi hatekelezi (2) Anaposema anasema uongo (3) Anapoambiwa haki anaenda mbali na haki Alisema Mhe. Mrema bila ya kufafanua