Dr Chew Ing Gum
Senior Member
- Aug 7, 2017
- 161
- 229
Teh teh teh!!KIGAMBONI WANAUME BADO SIO WENGI KAZI ITALALA
Mama ake Diamond.mi simjui huyu, kwan ndo nani
Mwenye nyumba kapanga...View attachment 646369
Baada ya kuandamwa mitandaoni kuwa tangu amekuwa staa bado anaishi nyumba za kupanga maeneo ya Kijitonyama jijini Dar, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefungukia madai hayo kuwa wengi wanaongea bila kujua undani wa maisha yake.
Akizungumza na Star Mix, Aunt alisema ameamua kuishi maisha ya kupanga kwa sababu ya ukaribu na kazi zake na kama ni nyumba yake ipo maeneo ya Kigamboni.
“Nawashangaa sana wanaosema hivyo. Nimepanga katikati ya mji ili nifanye kazi zangu kwa wepesi na kama ni nyumba mbona ninayo Kigamboni?” Alihoji Aunt ambaye ni mzazi mwenza na Moze Iyobo.
Muungwana
Mjini kunakotajwa na Wasanii ni Kinondoni, Magomeni, Masaki, na labda Kariakoo maeneo ambayo wao ndiko "soko" lao liliko.Mesuma na mjini na kigamboni na mjini vipi umbali?Nataka kujua nyumba yake ya kigamboni ilipo.
Nimetoa macho labda anaishi kimbiji MwishoHiyo nyumba ya kigamboni iko sehemu gani tuitafute.Kigamboni na mjini kuna umbali gani compared to kijitonyama?
Mwanamuziki wa kazazi kipyami simjui huyu, kwan ndo nani
Sio kwa huyuwenye nazo wengi wanahusudu kupanga kuliko kuishi kwenye mijengo yao.....wahindi ni mfano mdogo tu
Anaishi kigamboni darajani dk 30 ukiwa na gari binafsi unafika kariakoo nauli ya daladala ni 400 labda kwa kuwa hakuna wauza chips wakubwa kama waliopo zinza,kinondoni,magomeni,ilala,mwenge n.kNimetoa macho labda anaishi kimbiji Mwisho