Aunt Ezekiel afunguka kuhusu nyumba ya kupanga

Aunt Ezekiel afunguka kuhusu nyumba ya kupanga

View attachment 646369

Baada ya kuandamwa mitandaoni kuwa tangu amekuwa staa bado anaishi nyumba za kupanga maeneo ya Kijitonyama jijini Dar, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefungukia madai hayo kuwa wengi wanaongea bila kujua undani wa maisha yake.

Akizungumza na Star Mix, Aunt alisema ameamua kuishi maisha ya kupanga kwa sababu ya ukaribu na kazi zake na kama ni nyumba yake ipo maeneo ya Kigamboni.

“Nawashangaa sana wanaosema hivyo. Nimepanga katikati ya mji ili nifanye kazi zangu kwa wepesi na kama ni nyumba mbona ninayo Kigamboni?” Alihoji Aunt ambaye ni mzazi mwenza na Moze Iyobo.


Muungwana
Mwenye nyumba kapanga...
 
Mesuma na mjini na kigamboni na mjini vipi umbali?Nataka kujua nyumba yake ya kigamboni ilipo.
Mjini kunakotajwa na Wasanii ni Kinondoni, Magomeni, Masaki, na labda Kariakoo maeneo ambayo wao ndiko "soko" lao liliko.
Hamaanishi mjini ya Posta maana aina ya shughuli zao wanazozifanya hazina dili sana Posta
 
Bongo bwana, sasa akiwa kapanga au kaazimwa watu wengine yanawahusu na nini? Watu wanakosa ya kufanya tu
 
Nimetoa macho labda anaishi kimbiji Mwisho
Anaishi kigamboni darajani dk 30 ukiwa na gari binafsi unafika kariakoo nauli ya daladala ni 400 labda kwa kuwa hakuna wauza chips wakubwa kama waliopo zinza,kinondoni,magomeni,ilala,mwenge n.k
 
Ally kiba naye ni bingwa wa kupanga, tunaye hapa segerea chama [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom