Aunt Ezekiel amemnyima Unyumba Mose Iyobo ?

Haya majina ya kizungu nayo, utampaje mwanao jina kama Cookie? It sounds like a porn star name to me. I'm sorry.
Yule porn star anaitwa Caramel, usichanganye.
 
Toto la gwiji wa Yanga Afrika linatingisha kibiriti tu, jamaa kwanza kajilipuwa, ili kuwa naye tu, aunt ezek ilibidi ashukuru, demu kaanza kuleta nyodo akisahau hayuko nnadaa kama zamani! Ila siwezi kumsahau huyu demu, alileta vurugu sana kwenye ndoa 2 au 3 kwa watu wanaojulikana!
Sina huruma na demu kabisa...
 
Huyo Caramel mi wala simjui, nilichosema ni kwamba, Cookie sounds like a porn star name.
Hata me nimeandika tu kama joke, ingawa kweli yupo Porn star mkongwe aliitwa Caramel.
 
Moses iyobo ndo yule aliyeshinda biko mzuka akaitwa kwenye ofisi ya m bet kwa yule muhindi kule Madagascar
 
Embu acheni kuleta topic za kimakuz hapa mie nshavulugukiwa
 
Kijana unapenda mambo ya umbea tu, andikeni mambo ya maana, mtu kahoa tu ushaleta udaku wa Inst JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…