Nenda jukwaa la uchumi na kilimo huko ndiko watu wana jenga uchumiSo wat? Inatusaidia nini sisi katika kujenga taifa? Watanzania banah
Au kama jina la Mbwa Mkuu.Haya majina ya kizungu nayo, utampaje mwanao jina kama Cookie? It sounds like a porn star name to me. I'm sorry.
Yule porn star anaitwa Caramel, usichanganye.Haya majina ya kizungu nayo, utampaje mwanao jina kama Cookie? It sounds like a porn star name to me. I'm sorry.
Alishapita?Amsalimie mh. Nyalandu popote pale alipo.
Yule porn star anaitwa Caramel, usichanganye.
Haya majina ya kizungu nayo, utampaje mwanao jina kama Cookie? It sounds like a porn star name to me. I'm sorry.
Hata me nimeandika tu kama joke, ingawa kweli yupo Porn star mkongwe aliitwa Caramel.Huyo Caramel mi wala simjui, nilichosema ni kwamba, Cookie sounds like a porn star name.
Aunty kanenepa kawa wa Mviringo.
ni mawaziri wa fedha wa jumuia ya ulayaNdio kina nani hao??
Kijana unapenda mambo ya umbea tu, andikeni mambo ya maana, mtu kahoa tu ushaleta udaku wa Inst JFDansa maarufu Bongo, Moses Iyobo, amesema kuwa kuandika kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram kuwa amenyimwa penzi na mzazi mwenzie Aunt Ezekiel hajaona kama kuna tatizo ingawa aliandika kama utani.
Akizungumza na gazeti hili, Iyobo alisema kuwa yeye na Aunt ni watu ambao wanataniana sana japokuwa tayari ni wazazi kwa hiyo hata alipoandika juzikati Instagram, alikuwa kwenye kuendeleza utani japo mashabiki wao wameipokea vibaya.
“Unajua watu wanashindwa kuelewa lakini mimi na mama Cookie (Aunt) tunataniana sana kwa hiyo hata kuandika vile ni kumtania tu sasa watu hawakuelewa naona wametoa povu kweli,”
alisema Iyobo.
Iyobo alikomenti kwenye video aliyoposti Aunt ikimuonesha akitembea akisindikiza na ujumbe wa neno ‘fresh’:
“Umeninyima penzi halafu uposti fresh?” alikomenti Iyobo.