Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
mtakuja kushangaa atakapoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa fulani....Tanzania nchi yangu nakupenda sana
Dada Aunti Ezekiel,
Jaribu kuangalia mbele, heshimu wakubwa, Mh. Lowassa ni zaidi ya Baba yako, hustahili hata chembe kumtukana binti. Kumbuka hayo matusi hayana muda mrefu, mwisho wake ni tarehe 25/10/2015, lakini maisha yataendelea.
Kumbuka CCM inakutumia, matatizo yatakuwa yako binafsi na mjane mama yako.
UKAWA tunakutakia kila la heri katika kumtukana Mh. Lowassa ila MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI.
Sasa kwanini anamtukana. Kwani lowassa amemkosea nini?