Anataka mtotot afuate nyayo zake, huoni hata yeye kavaa hivyo hivyo ?View attachment 763693
Aunt Ezekiel akiwa na mwanae
Je! Mama kuvaa hivi mbele ya mtoto wake ni Ujinga, Fashion, Ustaa, Uzungu, Swagga au Uboya?
Aisee wanawake wa kibongo acheni ujinga sio kila kitu ni chakuiga wazungu haya sio maadili mazuri mbele ya watoto wenu.
Sure mzee, hajui maisha ya celebrity ni ajira kwa wengineBinafsi sioni kama kuna tatizo maana anatusaidia kutengeneza vicheche wa siku za baadae. Dunia hii bila vischana vihuni vihuni haitaenda kabisaaa, magazeti ya shigongo yataandika nini????
sote hatuwezi kufanana
hahahahh..Juzi niko zangu kwenye daladala akaingia Mama mmoja na mtoto wake wa kike miaka km 6 hivi au 7 huyo mtoto kavalishwa kisuruali chepesiii...hlf kimembana hatareee...balaaa lilikuja mtoto ana msambwanda utadhani mtu mzima yule mama akamwambia yule mtoto kaa na Kaka yako hapo yaani akae na mimi
Nusu nusuWamependeza hawajapendezaaaaaa?
Akiinama vipi...?Wewe ndio mshamba..Kipi cha ajabu hapo mkuu ?
naona aunt ezekieli "" umekuja kujibu tuhuma "" kumbe na wewe upo Humu JF "" gud to knw that
kama hayo unayosema ni sahihi "" Jela za Watoto zipo kwa mantiki ipi sasa "" na ni vipi kuhusu wale Watoto wadogo "" wanaotumiwa na magaidi katika kufanikisha mbinu zao ovuNo maam. Nilikuwa nakupa message tu, watoto ni innocents, hawawezi kuitwa malaya.
kama hayo unayosema ni sahihi "" Jela za Watoto zipo kwa mantiki ipi sasa "" na ni vipi kuhusu wale Watoto wadogo "" wanaotumiwa na magaidi katika kufanikisha mbinu zao ovu
Kutembea uchi sisi hatukuwaiga wazungu ila wazungu ndyo walituiga sisi so,ukimuona m2 anatembea uchi ujue ameirudia asili yake!
Kweli kabisa, amemkosea haki mtoto.Mkuu Siyo poa kumuita mtoto Malaya
Leave ur life and let others do.Don't be selfish for trying to impose ur values to other people..Akiinama vipi...?
Bado unamwita mshamba aliyesema Aunt ni mshamba?
sasa wewe wakati watoa essay yako ulisema kuwa una kusudia kundi la Watoto wa rika ipi "" au wajitoa ufahamu mkuu"" ??Unayoyasema hapo bado hayana uhusiano wowote na kumwita mtoto wa miaka 5 malaya. That's vulgar and offensive my friend.