Aunt Ezekiel: Mvuto wa kipekee


Mnajishaua tu, kwani wao wanawapenda???????? maneno ya wakosaji tu hayo, eti sizitaki mbivu hizi.
 
Nyie wote mnaoona huyu binti ana mvuto wa kipekee mna mioyo fufutele tu
Ninachoamini kila mtu ana mvuto wa kipekee bana, acheni habari zenu za kujiwekea habari wenyewe au mademu wenu halafu mnataka tuwapandishe chati
 
after all hizi picha hazionyeshi mvuto wa kipekee ila zinaonyesha ukahaba wa kipekee
 
Duuu demu amepata Promo ya nguvu! Wakwale msiingie peku peku Aunt Ezekiel machine imepiga Mileage kibao na Engine imeishafanyiwa overhaul kibao!

Duh! heheheheheee ... Comment imeniacha hoi kabsaaa! Heshima kwako mkuu.
 

sio ushamba kuva dela, ni uwamuzi wa mtu, siku nyingine unaamua kubadilisha mavazi. Tatizo waswahili hamuishi kuongea, akivaa vipensi mnaanza oooh anavaa nguo za uchi, akivaa dela oooh mshamba sasa avae nini?????????????
 
Binafsi naomba thread hii iamishiwe kwenye Mambo ya Kikubwa otherwise wenye busara zetu tuta-resign. Mode upo au umeenda lunch Mazee???
 
Nimekuelewa BOSS, ila tukiweka pembeni tabia na mengineyo tukaangalia tu uumbaji wa Mola, una lipi la kusema?

Tukiweka tabia pembeni, Irene Uwoya ni mkali jamani...mi kuna wakati kama mara 3 hivi kidogo nimtupie sumu lakini roho inasita especially nikifikiria wife akipata habari!! Lakini kiukweli ni mkali
 
Ebwanaee!
Hizi picha si nzuri kwaq afya hasa kama hawa jamaa hawako pamoja..na ni mbaya zaidi kwa kuwa mwenye anammiliki Aunt akiona vile kitu Jack Bawa Pemba anavokula litaz anaweza kutangaza separation!.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…