Aunt Ezekiel: Sikumbuki idadi ya mimba nilizotoa

Hivi hakuna sheria ya mtu kukamatwa akitoa mimba kwa makusudi? huyu si ametangaza hadharani kabisa!
 
Hv nafsi huwa haziwasuti??? Na pale wapaoamua kuzaa huyo mtoto atasema ni kwanzaaaaa au na kufurahi kawa kapata mtoto???najiuliza tu.
 
Sasa kama ukumbuki sisi tufanyajee..? Ujue laana yako ipo pale pale tu Motoni kwa kuua kiumbe kisichokua na hatia..
 
Yeye ndio anayetoa majina kwa watoto wake na sio mme wake
 
Wengi mnatoa povu kwa ukweli aliosema dada wa watu, lakini ni nani anayeweza kuwa wa kwanza kumpiga jiwe? Nani mwenye umri kama wake ambaye hajawahi kutoa, kushauri itolewe au kusaidia kwa njia moja au nyingine kutoa mimba? Sisi wanaume tuna mchango mkubwa sana kwenye kutunga mimba sizizohitajika na kuwa sbb ya hizo mimba kutolewa au kushawishi itolewe.
 
Mungu aepushilie mbali! Hamna sababu ya kunifanya nitoe mimba. Mungu akinijalia nikapata mimba ntailea kwa hali na mali.
Mungu ndio anasababisha watu wapate mimba zisizotarajiwa?
Anyway.. Dada yangu usije ukanielewa viwanda. Sipo kwa kuku offend i love you.
Sasa nikupe mtoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…