Aunt Ezekiel: Sikumbuki idadi ya mimba nilizotoa

Du hiz kiki za msimu huu had beny saanane kashasahaulika mung tuokoe nahili janga la CCM
 
Hawa watoa mimba ni wabaya kuliko wauza madawa ya kulevya picha inatakiwa ianzie hapa kwa huyu dada kajigeuza mfuko kwamba wanaweka yeye anatoa na kutupa mbaya sana
 
Mbona ni mtu mzima ina maana huwa hatumii vidonge au vipandikizi kuzuwia mimba?
 
Msanii aunt ezekiel amekiri alishawahi kutoa mimba kabla ya bintie aitwae cookie



Vile vile amekanusha yeye sio mchawi ila akiwa na shida kwa kalumanzira huwa anaenda sana.

Sanaa na wasanii wetu. Hawa ndio kioo cha jamii.
 
Haishangazi...ila mwisho wa yote ni Gigy money

Yeye mimba zake zimezoea kutoka saaana hadi sikuhizi zinatokaga tu bila hata yeye kujua

Usiku ni anajifuta tu akikuta midamu damu kisha analala zake.
 
Hahaha,, et anafuta futa alafu analala zake
 
Majisifu mengine yanashangaza. Hapa anatafuta kiki ya kutoa filamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…