Aunty Ezekiel Afungua PUB yake

Aunty Ezekiel Afungua PUB yake

huyu Irene hapo kifuani alikanyagwa na chui eee? :confused2:
 



HILI GUBELI WAPI HUWA LINAKOSEKANA JAMANI MPAKA NACHOKA LOH SSHEMEJI YANGU POLE



""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""KAZE IWACU""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""

ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Nimeipenda picha ya CP akishushia keki na biaaa.
Haina tofauti na kulamba biere na mayai ya kuchemsha. hayo maushuzi yake unayasikia mpaka kwenye sms

hahahaha wewe kweli msanii bandgu!.. maushuzi hadi kwenye SMS :becky::becky:
 
na wewe unamshika shika mke wa mtu ovyo ivyo uogopi ata kama anakuvulia bangili embu jiheshimu na umuheshimu alietoa agana na mungu pale kanisan hata kama ajui kiswahili pls n pls

Kataka mwenywe ashikwe, shida iko wapi????
 
Nimeipenda picha ya CP akishushia keki na biaaa.
Haina tofauti na kulamba biere na mayai ya kuchemsha. hayo maushuzi yake unayasikia mpaka kwenye sms
duu huu utakuwa ushuzi digito
 
Back
Top Bottom