Global+bongo movie=mauzo ya global. Bila kutengeneza skendo za bongo movie global hawawezi kuuza
Mi najiulizaga, ina maana kule airport akina shigongo walienda kwa ajili ya aunty au walikuwa kikaz? Na sidhan kama walienda tu airport bila kazi hawa wanajuana mbwa hawa, mfyyy
Binamu imelda alimsindikiza aunty..unadhan tungejuaje ameenda marekan?si mpaka ajitangeze..mastaa wa bongo movie ni janga kubwa changanya na global ni shidaaa.
Imelda nae chakubimbi, mar ajifanye shoga wa mastaa baadae anawaponda tena, kuna siku mama ubaya alimfuata kazin kwake akamchamba nashangaa siku izi mashoga tena
Huyo nae cheusi dawa uko marekani kaenda kufanya nn au ndo biashara imenoga ya kuuza mmwepu
halafu wewe habari zako ninazo nakuangalia tu....
Dinazarde leo yamenikuta leo mwenzio khaa sina hamu, ningetolewa ngeo leo, yani mdomo huu sina hamu, nshazoea jamii forum natukana weee naambulia ban, sasa nikajisahau leo nikajua nipo JF wacha nichambane na mtu kwenye dala dala leo?, nimepata kipigo hiko hakyanani sina hamu,ikabidi nichomoke kupitia dirishani yaani mmh, kisa chenyew sasa, kwel mdomo huu
Imelda sio chakubimbi...
Ni patners na bongo movie...
Maana wanatengeneza scandals mavimavi ili wauze magazeti
Sasa sijui bongo mavii sorry bongo movie wanalipwa sh ngapi
Itakua anajuaa sana na kulamba kama mbwa
huyo moze itakuwa anajua ku.----- au aunt kakosa bwana wa kumtoa genye
Dinazarde leo yamenikuta leo mwenzio khaa sina hamu, ningetolewa ngeo leo, yani mdomo huu sina hamu, nshazoea jamii forum natukana weee naambulia ban, sasa nikajisahau leo nikajua nipo JF wacha nichambane na mtu kwenye dala dala leo?, nimepata kipigo hiko hakyanani sina hamu,ikabidi nichomoke kupitia dirishani yaani mmh, kisa chenyew sasa, kwel mdomo huu