Aunty Ezekiel atia kinyaa kwa kuvaa nusu uchi Kigali-Rwanda

Aunty Ezekiel atia kinyaa kwa kuvaa nusu uchi Kigali-Rwanda

Unajua tatizo kwa sasa tumezidi kuiga mila za nje kuliko kudumisha milana desturi zetu za kitanzania. Hivi rudi miaka kazi nyuma mwanamke gani alikuwa anaweza kutembe na kikaputula kama cha huyo dadetu? Binafsi naona kama anauza k na tigo kwa wanyarwanda . Aibuuuuu hii anawatukana wanawake

Hauzi anatafuta mchumba kama yule aliyeolewa na mchezaji wa football
Ndo kazi iliyobaki'
Akikosa anasakanya mzungu akamalizie makombo
 
duh paja hilo mkuu
wala siyo kimbaumbau
ailete hu:A S-alert1:
 
lovely umependeza aunt ezekiel...tupe tips basi on how to stay in shape.
 
Unajua tatizo kwa sasa tumezidi kuiga mila za nje kuliko kudumisha milana desturi zetu za kitanzania. Hivi rudi miaka kazi nyuma mwanamke gani alikuwa anaweza kutembe na kikaputula kama cha huyo dadetu? Binafsi naona kama anauza k na tigo kwa wanyarwanda . Aibuuuuu hii anawatukana wanawake

Unajua kweli mila zetu za asili zilikuwaje? Kwenye hali yetu ya joto nani angevaa hayo masuti na mabaibui? Unachoita mila na desturi zetu ndizo tumeiga kutoka kwa hao waliotutawala na kutuletea dini zao. Sisi wenyewe mtu kujisitiri na kujiheshimu hakukutegemea mavasi bali mafunzo kuwa namna gani unatakiwa kumtendea mwenzako bila kujali kavaa nini. Wanawake wetu walitembea matiti wazi ( ati leo mabinti wa kiafrika wanaona haya kunyonyesha hadharani!) na vipande vidogo tu vya ngozi kufunika hayo maeneo bila matatizo yeyote. Hakuna aliyesema kuwa ati kwa vile hawajavaa kufuri basi wanajiuza. Uungwana uko kweli nafsi yako na si kwenye mavazi kama mnavyotaka tuamini.

Amandla......
 
attachment.php
hapa mdomo wake ulivyokaa je kunako kutakuwaje? angalia mdomo vizuri
 
Jamani nimeongea nae binti anasema amevaa vile
Kuwapa tumaini wale waliofiwa na wake zao kwenye mauwaji ya kimbara so akuwa na nia mbaya zaidi ya kuwajuza lipo tumaini baada ya kifo..sorry tusimseme sana jana .....
 
kwakweli ni tatizo!hii ni kwa wanawake wasiojiheshimu, wanaopenda kuiga mambo ya kijinga. kwani mkivaa uchi ndo mnapata nini? jiheshimuni mthaminiwe nyie mabinti wa kibongo, zaidi ya hapo mkiitwa malaya ni haki yenu.
 
kudadadeki yaaani hapa kuna jamaa alikua anakodoa macho
kanikanya nisitukane .................................................
ameipatia stimu sasa anampigia demu wake cm............
 
naamini si peke yake anayevaa hivyo-
maisha yapo hivyo-wote hawawez kuvaa magauni
 
Tukumbali hali ilivio, Kwani histolia inajirundia zamani hakukua na mavazi
 
nilishasema baadhi ya waigizaji wa kibongo wanatafuta umaarufu kwa njia za magendo halafu wana vichwa vya nazi hawaelewi wala hawasikii niwechoka,kazi kuanika pumba zao nje ili kuku wazidonoedonoe.
 
uvaaji huu ni kwa mabint wasiofundwa na wengi wao wanaishia kutoolewa kwani wanajiweka hadharani mapema.
 
Utandawazi!!!! kila kila Twende!!!! Hayo ndio maendeleo!! au Ulimbukeni?? au ndiyo Haki zabianadamu? tusiingiliabe Bwana!!! This is a free society!!!???? Bakora za Umoja wa Vijana wa TANU 70s zikirudi Je ? au sera za Al Shaabab watu kama hao hawakatizi Je tufanye nini????? Na mambo tayari yanatokea!!!
 
Back
Top Bottom