Aunty Ezekiel: Bongo movie hailipi, "MADANGA" ndo wanaoniweka mjini

Nisipompata Aunt Ezekiel kwa shamba la babu Bwama namuuzia shamba la bibi Chole.

Mbona usisumbuke kuuza shamba binamu? Wew siku kajitoe ufahamu ukalale Serena hotel au hata pale double tree halafu mpigie simu super staa yeyote mwambie akufuate apo , utaona watakavyotoka mbio , sehemu tu uliyolala watajua bila shaka jamaa ni billionaire kumbe Yahaya, mastaa ndo wanavyoliwaga na kutapeliwa
 
Bina siku hizii una salamu heee !!!

Hata maofisini watu wakionana hasubuh si lazima salamu muhimu? Sasa naamka na post tu ata sijui kamanda wangu geniveros kaamkaje Leo? Unadhan ipo poa?
 
Last edited by a moderator:

Kumbe wapo rahisi hivyo du, Asante kwa kunipa hint binamu.
 

Mdau umeongea point lakini hatutapata akili timimu ukizingatia camcer iliyopo kupona kazi labda vizazi vijavyo ndio maana mtu kama diamond ameonyesha mafanikio ndani na nje ya Tanzania Tayari wenye wivu weshaanza kumzomea kila akipanda jukwaani ilimradi awe chini badara ya kumsapoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…