AURA SPECIAL THREAD: Fanya muujiza wa kwanza na Rakims

AURA SPECIAL THREAD: Fanya muujiza wa kwanza na Rakims

Aura ya Njano ni mimi mtupu.
Hasa hapo nisipokua na Friends..

ndio maana nikiingia dukani naanza kuona vitu vya njano tu[emoji23][emoji23]
 
Aura ya Njano ni mimi mtupu.
Hasa hapo nisipokua na Friends..

ndio maana nikiingia dukani naanza kuona vitu vya njano tu[emoji23][emoji23]
Karibu jifunze na kuziona za wengine pia,...

Rakims
 
Ila mkuu mm Nimesoma sanaa lakini sijaelewa Kidogo Naanzaje Kufanya hii kitu embu Nijuze japo kifupi mkuu

Maana mzee wangu mganga kama anadanganya watu aache maramoja nataka kuthibitisha

Mbinu hizi
 
Ila mkuu mm Nimesoma sanaa lakini sijaelewa Kidogo Naanzaje Kufanya hii kitu embu Nijuze japo kifupi mkuu

Maana mzee wangu mganga kama anadanganya watu aache maramoja nataka kuthibitisha

Mbinu hizi
Soma thread yangu vema kisha niambie wapi panakutatiza mkuu,
 
4433a36193dfbcd22ba45d7a015583bb.jpg


Mkuu Karata Na karatasi hizi hapa sasa sielewi namna ya kuziweka
 
Namna Ya kutumia karata na karatasi Jeupe mie nataka kujarib now Nitoe mrejesho
Haya fuata maelekezo hapo nimetoa tuone utaishia wapi, ili niweze kukucoach zaidi,
 
Haya fuata maelekezo hapo nimetoa tuone utaishia wapi, ili niweze kukucoach zaidi,
Ombi langu nazi wekaje hizi karata pamoja na karatasi mkuu mi nipo chumba cha majaribio hapa
 
Ombi langu nazi wekaje hizi karata pamoja na karatasi mkuu mi nipo chumba cha majaribio hapa
Chukua hiyo karata nyekundu angalia hiyo michoro myekundu hadi itoe miale ya bluu
 
Back
Top Bottom