usishangae tatizo shule mkuuSanaa eti nae leo anakimbiwa na mwanamke
Mkuu genta wewe ni bachela uliyetukuka ?
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 AU Mpemba Kisiwani PEMBA.Unauliza Wazungu Wawili Collesium Hotel?
Never ever trust a woman, I repeat loudly "NEVER EVER TRUST A WOMAN"!
Apone alaka aje atuimbie tunyimbo TWA mwisho
Anajua anachokifanya!Ila festledi mvumilivu aisee hata kama analala chumba kingine
Mke mwenyewe kama ndo huyo pichani inaonyesha alimvumilia sana marehemu!Aurlus Mabele ni mwanamuziki kutokea congo kinshasa alikua maarufu sana katika band miaka ya 90
Inadaiwa amekimbiwa na mkewe aitwaye Liza ambaye alizaa nae.
Nguli huyu wa muziki wa sokous anasumbuliwa na maradhi toka mapema mwezi huu taarifa zilivoanza kusambaa mitandaoni
Katika maojiano aliyayafanya huku akiwa na hali mbaya alidai mkewe alimkimbia mara tu baada ya kumpeleka hospitali
Pia kama ilivokawaida ya wasanii wetu wa Africa gwiji hiyu inasemekana hakua na pesa za matibabu mpaka pale serikali ya kabila ilipoamua kumlipia bill za hospitali
"Because of my serious health problem, "The mother of my child left me as soon as she took me one night in the hospital"
He said with an indescribable something mischievous in his voice while in his hospital bed.
View attachment 895203
Kuna nyimbo flani hv ya loketo huyu mama kauza Sura humoAurlus Mabele ni mwanamuziki kutokea congo kinshasa alikua maarufu sana katika band miaka ya 90
Inadaiwa amekimbiwa na mkewe aitwaye Liza ambaye alizaa nae.
Nguli huyu wa muziki wa sokous anasumbuliwa na maradhi toka mapema mwezi huu taarifa zilivoanza kusambaa mitandaoni
Katika maojiano aliyayafanya huku akiwa na hali mbaya alidai mkewe alimkimbia mara tu baada ya kumpeleka hospitali
Pia kama ilivokawaida ya wasanii wetu wa Africa gwiji hiyu inasemekana hakua na pesa za matibabu mpaka pale serikali ya kabila ilipoamua kumlipia bill za hospitali
"Because of my serious health problem, "The mother of my child left me as soon as she took me one night in the hospital"
He said with an indescribable something mischievous in his voice while in his hospital bed.
View attachment 895203
Nakazia nyie hamuaminiki....Kweli mkuu