The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Ila festledi mvumilivu aisee hata kama analala chumba kingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kisu kimegusa mfupa na wenye akili waeleweIla festledi mvumilivu aisee hata kama analala chumba kingine
Mkuu naamini we ni mkweli sana ndo maana kila siku nakuombea utusue mkuuMkuu nakukubaligi sana humu na nakukumbuka nilivyokuahidi siku nikishinda lottery na nizikamate ntakutafuta
Mokili mobimba you know American Express I mean experience you know bebez I'm humbled hahaha le kopozAurlus Mabelee,napiga pole mingi sana papaa!Maladi yote itakwisha Mwana Nzambe.
Mkuu binadamu ni kama nyokaMwenye Upendo wa kweli ni Mungu tu,labda na wazazi wangu na hao ndo wanaonitakia mema walionizaa sasa hadi mtu wa karibu kama mke anakukimbia duuh bora nizidi kumwamini Mungu wanadamu ni hatari sana hawaeleweke mda,wowote anakiamsha tu
Afu upo vizuri Kaka usiku wote huu ushaandika uzi
[emoji23] unataka useme mkongo kafojiJanja ya kulipiwa bilii
Ila wa baba umeutilia shaka ?Ondoa neno labda, hupaswi kutilia shaka upendo wa mama ( wazazi) haupimiki.
Sana mkuuMwanamke ni kiumbe tofauti sana asee nazidi kumshukuru Mungu kwa kuniumba kidume
Ndio.kuna watu tunaweza kuwaona wanatabia mbaya kumbe wanajiepusha na mengiNdo mana Chibu anawatafuna tafuna kabisaa
Huyo alikua ni nani ?Kama EMMANUEL EBOUE!
Labda kwa mama ipo haiwezi kuondoka kwani wapi wengi tu walionyonga vichanga baada tu yakujifungua, tukiacha wanaowatupa na kuwatesa waliowazaa.Ondoa neno labda, hupaswi kutilia shaka upendo wa mama ( wazazi) haupimiki.
Je kwa mzazi wako (mama), aliyekufikisha hapa ulipo, Je upendo wako kwake una walakini (Labda) ??? Jibu ni hapana, HAKUNA KAMA MAMALabda kwa mama ipo haiwezi kuondoka kwani wapi wengi tu walionyonga vichanga baada tu yakujifungua,
Mungu amusaidie ili afya yake irejee.Aurlus Mabele ni mwanamuziki kutokea congo kinshasa alikua maarufu sana katika band miaka ya 90
Inadaiwa amekimbiwa na mkewe aitwaye Liza ambaye alizaa nae
Nguli huyu wa muziki wa sokous anasumbuliwa na maradhi toka mapema mwezi huu taarifa zilivoanza kusambaa mitandaoni
Katika maojiano aliyayafanya huku akiwa na hali mbaya alidai mkewe alimkimbia mara tu baada ya kumpeleka hospitali
Pia kama ilivokawaida ya wasanii wetu wa Africa gwiji hiyu inasemekana hakua na pesa za matibabu mpaka pale serikali ya kabila ilipoamua kumlipia bill za hospitali
"Because of my serious health problem, "The mother of my child left me as soon as she took me one night in the hospital"
He said with an indescribable something mischievous in his voice while in his hospital bed.
View attachment 895203
Mwenye Upendo wa kweli ni Mungu tu,labda na wazazi wangu na hao ndo wanaonitakia mema walionizaa sasa hadi mtu wa karibu kama mke anakukimbia duuh bora nizidi kumwamini Mungu wanadamu ni hatari sana hawaeleweke mda,wowote anakiamsha tu
Afu upo vizuri Kaka usiku wote huu ushaandika uzi
Mwenye Upendo wa kweli ni Mungu tu,labda na wazazi wangu na hao ndo wanaonitakia mema walionizaa sasa hadi mtu wa karibu kama mke anakukimbia duuh bora nizidi kumwamini Mungu wanadamu ni hatari sana hawaeleweke mda,wowote anakiamsha tu
Afu upo vizuri Kaka usiku wote huu ushaandika uzi
Ondoa neno labda, hupaswi kutilia shaka upendo wa mama ( wazazi) haupimiki.