Austere Malivika ni Mwandishi wa habari Jasiri sana, anaandika habari za vita vya Congo DRC akiwa uwanja wa vita

Austere Malivika ni Mwandishi wa habari Jasiri sana, anaandika habari za vita vya Congo DRC akiwa uwanja wa vita

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
JOURNALISTE-860x645.jpg

Huyu mwamba ni zaidi ya mwanahabari, anaripoti habari za mgogoro wa Mashabiki ya Congo kwa zaidi ya miaka kumi sasa na mara zote amekuwa akirupoti matukio live akiwa na wapiganaji wa pande zote.

Amekuwa ameonekena akiwa anasafiri pamoja na waasi, akiwa pamoja na wanajeshi wa serikali ya Congo lakini pia walinda amani wa UN. Reporter huyu wa habari za vita amekuwa akiripoti taarifa zake live kutoka uwanja wa vita hili ndilo jambo linalonivutia sana.

Ni riporta wa VOA lakini pia Huwa anatoa taarifa zake ITV.
Hongera kwake na crew yake yote ya Matangazo.
 
Huyu mwamba ni zaidi ya mwanahabari, anaripoti habari za mgogoro wa Mashabiki ya Congo kwa zaidi ya miaka kumi Sasa na mara zote amekuwa akirupoti matukio live akiwa na wapiganaji wa pande zote. Amekuwa ameonekena akiwa anasafiri pamoja na waasi, akiwa pamoja na wanajeshi wa serikali ya Congo lakini pia walinda amani wa UN. Reporter huyu wa habari za vita amekuwa akiripoti taarifa zake live kutoka uwanja wa vita hili ndilo jambo linalonivutia sana.
Hosen Maridhika=Austere Malivika.
 
Kuna wale wa gaza walikuwa wanabamizwa mulemule na makombora. Huyu wa congo vita ya huko si kutumia silaha toka mbali vinginevyo angebamizwa pamoja na waasi hao
 
Waandishi wachache sana wenye moyo huo.
Wengi wao ni legelege, chips mayai.
Wandishi wetu wa sasa wengi wanaweza habari za udaku tu. Vitani hawawezi. Mwanaume huyo big up
 
Back
Top Bottom