shamariwa chool
JF-Expert Member
- Dec 14, 2024
- 265
- 248
Kunawakati aliwahi kutekwa na waasi baadae wakamwachiia kitu kama 2022 hvv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam kwa shee Kipoozeo mzee wa mizigo.Madrasa?
Austere na Keny Katombe ndo waandishi habari za vita wanotambulika na USAGM na Reuters. Wao ndo wanorusha habari za vita hiyo kutokea jikoni kabisa Congo DRC.
Huyu mwamba ni zaidi ya mwanahabari, anaripoti habari za mgogoro wa Mashabiki ya Congo kwa zaidi ya miaka kumi sasa na mara zote amekuwa akirupoti matukio live akiwa na wapiganaji wa pande zote.
Amekuwa ameonekena akiwa anasafiri pamoja na waasi, akiwa pamoja na wanajeshi wa serikali ya Congo lakini pia walinda amani wa UN. Reporter huyu wa habari za vita amekuwa akiripoti taarifa zake live kutoka uwanja wa vita hili ndilo jambo linalonivutia sana.
Ni riporta wa VOA lakini pia Huwa anatoa taarifa zake ITV.
Hongera kwake na crew yake yote ya Matangazo.
Ndio kimwagaAaah kumbe familia
Acha zarau buana mdogo 😂 🤣!.Hawa wa kwetu akitishwa kidogo tu na police ni mbio hadi anasahau na kitendea kazi chake.
Huyu Katombe ni mwamba kwerikweriAustere na Keny Katombe ndo waandishi habari za vita wanotambulika na USAGM na Reuters. Wao ndo wanorusha habari za vita hiyo kutokea jikoni kabisa Congo DRC.
Katombe nae ni mwandishi wa habari za video na afanyia Reuters.
Kuwa victim wa ngwengwe ndiyo kutokuwa na chakupoteza mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki?Kuna mjuba nipo nae hapa anadai eti analamjua huyo paparazi anasema eti ni victim wa ngwengwe,hvyo hana cha kupoteza,sijamuamini
Sijui,ngoja nimuulize,mbona povu hivyo ndugu?Kuwa victim wa ngwengwe ndiyo kutokuwa na chakupoteza mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki?
Nashangaa kauli hizi kutolewa na mtu mzimaSijui,ngoja nimuulize,mbona povu hivyo ndugu?