Austere Malivika ni Mwandishi wa habari Jasiri sana, anaandika habari za vita vya Congo DRC akiwa uwanja wa vita

Austere na Keny Katombe ndo waandishi habari za vita wanotambulika na USAGM na Reuters. Wao ndo wanorusha habari za vita hiyo kutokea jikoni kabisa Congo DRC.

Katombe nae ni mwandishi wa habari za video na afanyia Reuters.
 
Austere na Keny Katombe ndo waandishi habari za vita wanotambulika na USAGM na Reuters. Wao ndo wanorusha habari za vita hiyo kutokea jikoni kabisa Congo DRC.

Katombe nae ni mwandishi wa habari za video na afanyia Reuters.
Huyu Katombe ni mwamba kwerikweri
 
Kuna mjuba nipo nae hapa anadai eti analamjua huyo paparazi anasema eti ni victim wa ngwengwe,hvyo hana cha kupoteza,sijamuamini
 
Kuna mjuba nipo nae hapa anadai eti analamjua huyo paparazi anasema eti ni victim wa ngwengwe,hvyo hana cha kupoteza,sijamuamini
Kuwa victim wa ngwengwe ndiyo kutokuwa na chakupoteza mbona watanzania tunakuwa wajinga kiasi hiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…