auto electrical

auto electrical

hamisi nondo

Senior Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
192
Reaction score
172
maalum kwa mafundi umeme wa magar,,tupeane ushauri wa kiufundi na namna ya kutatua matatizo ya umeme katika magari,,pia wenye maswali yanayohusiana na umeme wanaweza kuuliza,,
 
Gari yangu iliungua taa moja ya brake ya upande wa kushoto, nikaona kwenye dash board kuna taa ikawaka(alama kuashiria taa za nyuma za brake zimeungua). Nimebadilisha taa ya brake na kuweka mpya na sasa taa zote mbili zinawaka, lkn mpaka sasa ile taa ya kwenye dashboard inayoashiria kuwa taa ya brake imeungua bado haijazimika. Nilienda kwa fundi akanishauri nifungue waya wa earth wa kwenye battery na nikae dk 15 ndipo niurudishie ili fututa memory. Nimefanya hivyo lkn ile taa bado inawaka. Naomba ushauri wakuu ili hii taa ya kwenye dashboard iweze kuondoka. Asanten sn
 
Gari yangu iliungua taa moja ya brake ya upande wa kushoto, nikaona kwenye dash board kuna taa ikawaka(alama kuashiria taa za nyuma za brake zimeungua). Nimebadilisha taa ya brake na kuweka mpya na sasa taa zote mbili zinawaka, lkn mpaka sasa ile taa ya kwenye dashboard inayoashiria kuwa taa ya brake imeungua bado haijazimika. Nilienda kwa fundi akanishauri nifungue waya wa earth wa kwenye battery na nikae dk 15 ndipo niurudishie ili fututa memory. Nimefanya hivyo lkn ile taa bado inawaka. Naomba ushauri wakuu ili hii taa ya kwenye dashboard iweze kuondoka. Asanten sn
mkuu hiyo ni gari ya aina gani?
 
angalia sensor za miguu zko sahhi pia kwenye hand brake connection iko sawa
 
angalia na taa za parking zote kama zinawaka,,usisahau kuangalia na zile za kwenye plate number,,nauhakika lazima utakuta kuna bulb ya parkng haiwak
 
Dkk 15????? Hzo ni sekunde!! Njia ya kuchomoa battry terminal haifai kiufundi coz inaingilia ECU functions, cha kufanya, chomoa EFI relay fuse kwenye fuse box kwa sekund kama 15 hv, then unipe matokeo!! Njia ya kuchomoa battry ni ya kizamani sana na inafaa tu kwa baadhi ya magari, mengine ukifanya hv unaleta matatizo makubwa kama ECU ikikocorrupt, xo utahitaj gharama kubwa kuinitialize eg. Magari kama BMW!!
 
Asante sana wadau, ushauri wenu umenisaidia kutatua tatizo. Makosa yalifanywa na fundi wakati anabadilisha bulb kwa mara ya kwanza. Alitioa bulb ya brake iliyoungua ambayo yenyewe ina njia nne(waya nne) akaweza bulb hizi za kisharobaro za LED, ambazo zinakuwa kama zina blink ukikanyaga brake. Tatizo la hizi hizi bulb mpya za LED alizoweka fundi zenyewe zina njia mbili(waya mbili) na ndio maana ile taa ya kwenye dashboard iliendelea kuwaka. Leo nimetoa bulb zile za LED nimeweka za kawaida za nia nne ile taa kwenye dashboard imezimika. Nawashukurudi sana wadau kwa ushauri wenu wa kiufundi mlionipa, Asanteni sana.
 
Mkuu hata ww haupo sahihi kwani fuse ya EFI inahusiana na masuala ya body?? maana bulb au mfumo wa taa upo kwenye body sio engine

Dkk 15????? Hzo ni sekunde!! Njia ya kuchomoa battry terminal haifai kiufundi coz inaingilia ECU functions, cha kufanya, chomoa EFI relay fuse kwenye fuse box kwa sekund kama 15 hv, then unipe matokeo!! Njia ya kuchomoa battry ni ya kizamani sana na inafaa tu kwa baadhi ya magari, mengine ukifanya hv unaleta matatizo makubwa kama ECU ikikocorrupt, xo utahitaj gharama kubwa kuinitialize eg. Magari kama BMW!!
 
Sensor ="kenny gel, post: 18261455, member: 365624"]angalia sensor za miguu zko sahhi pia kwenye hand brake connection iko sawa[/QUOTE]
Sensor na bulb wapi na wapi mkuu.utakuwa hukufaham ni taa ipi anaizungumzia
 
Mara nyingi tatizo hili likitokea ujue bulb iliyoweka sio,kwa mf gari za ulaya bulb ikaungua na kwenda kuweka bulb ya elfu tatu(not genuine ) taa kwenye dash haizimi mpaka uweke bulb original,
Hongera kwa kufanikiwa
 
Mara nyingi tatizo hili likitokea ujue bulb iliyoweka sio,kwa mf gari za ulaya bulb ikaungua na kwenda kuweka bulb ya elfu tatu(not genuine ) taa kwenye dash haizimi mpaka uweke bulb original,
Hongera kwa kufanikiwa
Tena nijuavyo mm hats ukiweka bulb mbili zenye wats tofauti ile taa inawaka
 
Back
Top Bottom