AUTOCAD- I want to LEARN !

smak786110

Member
Joined
Jan 24, 2008
Posts
90
Reaction score
4
Where can I LEARN AUTOCAD ?
Any good institution ?
Or personal experienced people who can teach ?

thanks
 
Cheki Univ. of Dar (CoET/BICO au UCC). Wakati fulani walikuwa wanaendesha courses za AutoCAD.
 
Andika uko wapi ili kujua nani yuko karibu yako anaweza kukuelekeza. AutoCAD ni program ambayo asilimia 70 itategemea wewe mwenyewe utundu wako wa kujua mambo. Ukisubiri kila kitu uelekezwe hutafika mbali na hii ni program kubwa kwa sasa. Itabidi kutafuta kitabu chake. Muombe INVISIBLE akutafutie E-BOOK. Kila la kheri.
 
First Download a book here (at JF), Install the software (there's AutoCAD 2009) then take a month going thru the program and if need certification consult Techno Brain a few metres from your office (as I know 🙂 )
 
Nitumie e mail yako nikutumie Complete tuttorial(Video) ya hiyo autocad 2008.Pia kama huna hiyo software mimi ninayo hapa,Nakumbuka kipindi fulani nasoma CCDP ilinisaidia kiasi fulani hizi tutorial ingawa kwa upande wangu ni kijisehemu kidogo mno ndio nilikuwa nakihitaji hivyo sina uhakika sana kama ni baab kubwa ama la lakini kuna jamaa mwingine wa Civil nilimpatia na alinishukuru mno akisema ipo mwake so u can try it Bro.
Yu willi neva woki eloni.
 
jamani na mimi siko mbali sana na huyo bwana Kilongwe, nilikuwa naomba msaada wa Manual ya hiyo AUTOCAD
 
nitumie e mail yako kuja robot08@qq.com,kama unahitaji na AutoCAD yenyewe yenye crack pia nistue,nitatuma weekend hii.
 
Kilongwe, check PM. Nimekutumia email. Ntahitaji hiyo Video tu maana program ninayo.
 
thanks guys...
na shukuru for all your kind replies...

Naomba hii tutorials and program pia.... nime kuu PM email yangu...

SHUKRAN...
 
Yani nawashangaa, mbona hiyo Video ya Training ya AutoCAD ipo hapa JF? Au mpaka mtumiane kwa Email?

Yani sielewi, ni lazima kutumiana emails? Am out of this!
 
Yani nawashangaa, mbona hiyo Video ya Training ya AutoCAD ipo hapa JF? Au mpaka mtumiane kwa Email?

Yani sielewi, ni lazima kutumiana emails? Am out of this!

Invisible Subiri kwanza...ni kwamba uwezo wetu wa kusearch video hiyo ni mdogo...weka link nishushe....Kilogwe...ana link zake za kichina...za mpaka 5GB ndio maana huwa anaogopa au wasiwasi weka hapa kulingana pengine na permision katika kila site....hana nia mbaya...au kuficha...kama mie naweza shusha kwa uharaka bongo....sina hiyana kama mtu atawasiliana nami na mie kumtumia katika location aliyopo...

Pili wengine uwezo wa kushusha video kama hizo offisini ndio maali pekee...lakini kwa hizi net zetu za kwenye simu...inaweza kula kwako.So tunasaidia hivyo hivyo kila mtu anapata...chochote kipatikanacho....

Tunaomba link hiyo mkuu....
Regards
Buswelu
 
Hizo ni taaluma za watu bora waachie wenye taaluma zao wafanyie kazi na wewe jiendeleze katika taaluma yako sio mtaka kujua mengi huo ndio ushauri wangu

hiyo ni profesional ya watu wengine
 
Hizo ni taaluma za watu bora waachie wenye taaluma zao wafanyie kazi na wewe jiendeleze katika taaluma yako sio mtaka kujua mengi huo ndio ushauri wangu

hiyo ni profesional ya watu wengine

Shy,
AutoCAD siyo taaluma ya watu. Ni kitu ambacho kila mtu kama una nafasi basi waweza kujifunza hata ile basic tu. Ndani ya hii program kuna matumizi katika fani nyingi sana za Engineering na hata nje ya hiyo. Ila nafikiri kwa wale wote wenye michoro isiyohitaji freehand drawing, basi waweza kujifunza hii. Ndiyo maana wanasema CAD yaani 'Computer Aided Design'.

Kwa wale ambao unasema ni taaluma yao, hii program na Microstation huwa wanazitumia kama platform tu ya program nyingine. Yaani tuseme wanawasha computer na wanafungua kwanza Windows. Baadaye wanafungua AutoCAD au Microstation. Baada ya hapo ndipo wanafungua tena kiprogram kingine wanachotumia katika kazi zao. Nikisemea ambayo nilishawahi ifanya ni kuwa hapo nawasha program iitwayo INROADS. Ila sasa Inroads (inayotumika katika kuchora barabara) inaweza hata kufanya kazi ndani ya Autocad.

Hizi program ziko nyingi kwa sasa. Kuna za Madaraja, Reli, Sewage system, Structures, nk. Ukitaka ziona basi waweza watembelea hawa jamaa wa BENTLEY wa USA.

Hivyo Wandugu, hata kama wewe ni mtu wa electronics, hizo resistance zenu mnaweza kutumia AUTOCAD kuzichora. Na kwa kuwa kuna ZOOM kubwa sana, unaweza kuwa una ZOOM na kuchora hivyo vipande vidogovidogo saana. Pia unaweza kusoma kwa FUN. Uzuri mkubwa wa hii AUTOCAD ni kuwa kuna zile tools na symbol zake ambazo unaweza kuwa unaangalia picha na kujua harakaharaka kuwa wana maana gani.

Pia waweza kujitengenezea Maktaba ya hiso symbol. Hizi maktaba huwa zinaleta wakati mwingine ugomvi kazini kwani unaweza kujitengenezea na mtu akaja kukuibia. Wengine wanaziuza hizi symbol. Wewe badala ya kuchora, unachukua tu hizo symbo au kwa jina la kitaaluma wanasema "cell" na kuzibandika.

NB: Naona INVISIBLE KAWEZA tayari link:
https://www.jamiiforums.com/educati...94-autocad-2009-essential-training-video.html
 
Last edited:
Nakumbuka wakati nasoma hii Program ilikuwa kwenye version ya AutoCAD 2000, Kisha nikaongeza ujuzi katika AutoCAD 2006.

Nimeitumia sana tu, na sasa natumia AutoCAD 2009. Inasaidia mno, nadhani kwa anayehitaji kujua kuhusu AutoCAD kwa undani na anataka afundishwe si kwa ajili ya cheti (maana mi sitoi cheti) anaweza kunitafuta kuanzia April na pia ninazo Symbols nyingi tu.

Ni vema kujifunza ArchiCAD pia kwani iko simplified zaidi ya AutoCAD.

Nimeshachora ramani zaidi ya 200 kwa AutoCAD lakini ArchiCAD ni presentation nzuri kwa client ambaye hawezi kuelewa mchoro kumpelekea katika 3D view.
 
Hizo ni taaluma za watu bora waachie wenye taaluma zao wafanyie kazi na wewe jiendeleze katika taaluma yako sio mtaka kujua mengi huo ndio ushauri wangu

hiyo ni profesional ya watu wengine

Mawazo mgando....Shy.I beg to differ na wewe...dunia ya sasa unahitaji kuwa multskill kama wewe ni Computer Maintanance,Programming nayo unatakiwa kujua...Database vitu vingi.From personal Note...vimenisaidia sana.

Na wengine wengi pia...kama una kitu wataka share please weka hapa watu watakukumbuka kwa hilo na sio kwa kukatisha tamaa...unajenga unabomoa?

Regards
Buswelu
 


Kwa watu ambao tunatumia Software ArcGIS 9.2 - 9.3,MapInfo,Micromine,Vulcan,ioGas AutoCad ina file kwenye zenye extension ambayo unaweza kuimport kwenye software hapo juu...na kulingana ma version za software hizi.

Kuna zingine zinaweza fanya hiki na zingine haziwezi...kwa mfano kuna vitu unaweza fanya kwenye ArcGIS na uka import .shp file kwenye mapinfo na kuendelea na mambo yako...vile DXF file ambazo unaweza kuzitengeza kwenye Vulcan,AutoCAD na kuzi import kwenye Mapinfo,ArcGIS na Micromine,Coral Draw...I

Inategemea wewe unataka kufanya nini na software ipi ni rahisi kutumia....

Hope we are together
 
Can Autocad help.. in a business of aluminium windows (like) ?

Like drawing how it will look after installation etc ? au ?
 
Wakoloni walipoingia Africa walifanya vitu kama hivi.
1:Kuziua tamaduni na mila zute na kuziita mila za kichawi na kutuletea mila zao aka(....)
2:Walijenga mazingira ya kuwafanya baadhi ya watu waliosoma au kupata mwanga wajione wao ndio wapo daraja kubwa zaidi na kutojichanganya na wengine
3.Kuziteka akili za watu.
Mwenye macho haambiwi tazama!
 
Kilongwe- Asante kwa reply yako.... Very true and interesting 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…