Mimi sio daktari ila mapractitioner wengi wanasema ni hatari sana.
haya mambo mimi sikuwa na habari nayo mpaka nilipoanza kuwa nafanya subtitling ya summit moja inafanyika nchini canada inaitwa Get well Summit, ina involve ma practitioners wengi wanazungumzia tiba mbadara za kansa, sijui ugumba, hashmotos, kureverse kisukari n.k. kwakuwa napewa video zao za summit kuzisubtitle najikuta in the process nasikiliza nakujua vitu vingi.
hivyo ndivyo nilikuja kufahamu uhatari wa gluten.
yes, sio kila mtu yuko sensitive na gluten, ila kwake yeye itakuwa vizuri akiacha kutumia chakula chenye gluten.