Automobile engineering

2in1

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2014
Posts
224
Reaction score
109
Wakuu habar zenu,Hivi hiyo course ya automobile ipoje kwenye suala zima la ajira na challenge zake ni zipi? Nimechaguliwa kusomea degree yake hapo NIT sasa nataka ufafanuzi zaidi kutoka kwenu.Naombeni msaada wenu wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…