Avatar yangu ina ujumbe mzito

Avatar yangu ina ujumbe mzito

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hii avatar yangu naweza kusema ndio avatar ya mwaka 2020/2021.

FB_IMG_15856291256721702.jpg
 
Mama unaielezeaje hii picha?

Nimebobea kwenye Mahaba ila kuchomana mkuki moyoni hapana aiseeeh.

Mwanamke ni ua, mwanamke ni pambo, mwanamke ni manukato shurti kuchanua muda wote shurtu kutunzwa...

Ukiwa mpenda maua mazuri yanayonukia na kuchanua kwa ukubwa, basi unagharama ya kuilipia.
Bili ya maji ya kulinyweshea ua kila asubuhi na jioni
Uweke uzio au wavu kuzunguka ua lako ili ng'ombe na mbuzi wasile ua lako ukiwa kwenye mihangaiko yako ya kuingiza kipato.
Ua linataka mwanga wa jua kila siku shurti kama umelipanda kwenye kopo uhakikishe hulifungii ndani litadhoofika kwa kukosa mwanga wa jua, kama lipo kwenye bustani nje basi vyema.
Usiruhusu majirani, marafiki na jamaa kulishika shika ua lako litanyauka mapema, acha waliangalie kwa macho tuu, waweza ruhusu wapige nalo picha kwa sharti ya kutolishika ua.
Kila jioni uzungumze na ua lako huku ukilishika kwa uangalifu taratibu kwa mahaba ukiwa unalinusa na kulibusu, hakika halitasinyaa wala kunyauka maana kila jioni litakuwa linasubiri mahaba teketeke kutoka kwa mtunzaji.

K' Matata.
 
Nimebobea kwenye Mahaba ila kuchomana mkuki moyoni hapana aiseeeh.

Mwanamke ni ua, mwanamke ni pambo, mwanamke ni manukato shurti kuchanua muda wote shurtu kutunzwa...

Ukiwa mpenda maua mazuri yanayonukia na kuchanua kwa ukubwa, basi unagharama ya kuilipia.
Bili ya maji ya kulinyweshea ua kila asubuhi na jioni
Uweke uzio au wavu kuzunguka ua lako ili ng'ombe na mbuzi wasile ua lako ukiwa kwenye mihangaiko yako ya kuingiza kipato.
Ua linataka mwanga wa jua kila siku shurti kama umelipanda kwenye kopo uhakikishe hulifungii ndani litadhoofika kwa kukosa mwanga wa jua, kama lipo kwenye bustani nje basi vyema.
Usiruhusu majirani, marafiki na jamaa kulishika shika ua lako litanyauka mapema, acha waliangalie kwa macho tuu, waweza ruhusu wapige nalo picha kwa sharti ya kutolishika ua.
Kila jioni uzungumze na ua lako huku ukilishika kwa uangalifu taratibu kwa mahaba ukiwa unalinusa na kulibusu, hakika halitasinyaa wala kunyauka maana kila jioni litakuwa linasubiri mahaba teketeke kutoka kwa mtunzaji.

K' Matata.
Nakutunuku shahada ya heshima kuanzia leo
 
Back
Top Bottom