Kwahiyo namichoro ya Magazeti ya SANI ilikuwa ikikumiza???ehe je ukibahatika live siunakufa kabla yakufika kwenye tukio??
hata mimi
hata mimi
hahaaa wa kwetu acha wizi wewe lol!!!
B kamwibia nani bana siku hizi chako ni chako tu!
warum?LOL:hippie:
novemba india mic echo kilo unifom mic india dabo siera
warum?LOL:hippie:
novemba india mic echo kilo unifom mic india dabo siera
napenda avatar yangu na ya bht
Hivi hakuna aliyependa yangu? Subiri mkipata maumivu hasa ya mgongo na kichwa mtanikumbuka!!
Mi naipenda avatar ya swahiba wangu wa tiba mheshimiwa klorokwini! Unatibia wapi ndugu yangu?:doh::doh::doh: