Avatar za akina nani zinakuumiza sana?

Avatar za akina nani zinakuumiza sana?

biggy nachukia vidonge mimi,haijalishia ni vya aina gani.

huwa najilazimisha sana kusoma post zako kwa kuwa tu damu ni nzito.........

Wewe subiri kichwa kianze vitu vyake. Utaipenda hiyo avatar hakyanane binti muhamale....:bathbaby:
 
Chloe kule kwenye 24 wewe hunifanya nilale macho.

red colour, kwa hivyo sehemu nyingine za mwili azilali isipokuwa macho tu ndo huwa yanalala? teh teh teh am just kidding my dia. 24 iko poa saaaaana. :focus:
 
mi naipenda ya adulhalim.kwa sababu inawaonya ccm kwamba iko siku tutawanyofoa utumbo tutoe mali ya uma waliyoiba.
 
warum?LOL:hippie:

novemba india mic echo kilo unifom mic india dabo siera

nimecheka sana leo....hujatulia kabisa...india lima alpha hotel alpha tango alpha mike india mike india november india mike echo kilo uniform mike india sierra sierra sierra alpha november alpha

 
nimecheka sana leo....hujatulia kabisa...india lima alpha hotel alpha tango alpha mike india mike india november india mike echo kilo uniform mike india sierra sierra sierra alpha november alpha



danke schon
 
Kuumiza Kivipi? Kukosha, Kuchukia, Kuudhi, Kukonga Roho na Moyo, Kupagawisha au
 
mgongo wako waniua ua na macho yako yaniua ua ....................... preta ni kinda langu lenye rangu ya chungwaa........................



asa mkulu si unegandika rangi ya chungwa hapo unatafuta disqualification!
 
kuna moja ya nani sijui i dont like it, ile anayo mnyofoa mwenzie tumbo na kumpiga nayo kisha analivaa tumbo kama kofia

Ile ya Abul.... mie naichukia pia ...jamaa anafurahia wenzie wakinyofolewa utumbo:nono:
 
Back
Top Bottom