Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka, nimegundua kuwa avatar nyingi za wana JF na mawazo yao zinaendana kabisa, na inavyoonekana kuanzia mtu anachagua avatar yake anakuwa anacommunicate na inner most feelings and personality yake bila yeye mwenyewe kujitambua. kwa mfano bujibuji, katavi, mentor, kamaka, n so many more
i'm Good (from looks,personality you name it!) did i mention i'm also a guy,i'm Good Guy! The avatar can anyone tell me who the guy is? If anyone can well you gat ur answers,i'm smart as the guy! By the way umesema uko wap vile tuje na shost tufungue saluni huko.lol
Hahahaha! Sio waswahili kloro, ni kweli alikuwa anashikiliwa na polisi... We unadhani alikuwa wapi siku zote???..lol..Khaaa! waswahili kweli wabaya, unajua hapa jamvini walikuwa wanasema unashikiliwa na polisi baada ya kutumia huduma ya gesti halaf hukulipia?, mimi nilikudefend sana fellow tablet lakini jamaa walishika bango, asavali umelejea.
bek to abov quote: penzi langu na sweetlady liko motomoto, tayari so far nishamrushia vocha 4.
Je wanaoweka picha za maselebrity wanafanana nao?
kampeni si mliahidiwa kujengewa saluni huku vp tena!Dah kumbe kwa kujifagilia umo ehhh?!<br />
<br />
Saluni huku kwetu hapana...tushazoea kukaa kwenye vigoda na kusukana bure!!!
mmmmhhhhJinsi ulivyo nijibu kule
kwenye jua mmmhh
Kila ulichosema hapo nakubali
asilimia mia ya mia na
ntaogezea zaidi na zaidi..
mmhh lakini sio hapa .....
<br /><font size="3"><span style="font-family: comic sans ms"><br />
<br />
Je mfano sisi tunatumia avatar za watoto... mfano mi natumia ya my cute lil uncle , mtooto wa dada yangu baby azizah...<br />
<br />
inamaana michango yangu ni ya kitoto...?<br />
</span></font>
reverse psychology,advantage of the technique the victim never knows what you really mean.i like it!Hapana hauna mchango wa kitoto kwa mimi wewe yaonekana ni mtu unayewapenda watoto.Kwa kifupi unaonekana wewe ni baba mzuri.
Mkuu nakupa tano,ukweli unaonekana,toka utoe usemi wako naona kila siku watu wanafanana na avator zao.Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka, nimegundua kuwa avatar nyingi za wana JF na mawazo yao zinaendana kabisa, na inavyoonekana kuanzia mtu anachagua avatar yake anakuwa anacommunicate na inner most feelings and personality yake bila yeye mwenyewe kujitambua. kwa mfano bujibuji, katavi, mentor, kamaka, n so many more
Mkuu kumbe kuna Jamii Forums ya chini? mimi mbona siijuwi hiyo Jamii forums ya chini?nijuulishe basi.Kwani mtu akifa huwa wanaaga? Pengine yuko jamiiforum ya chini
Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka, nimegundua kuwa avatar nyingi za wana JF na mawazo yao zinaendana kabisa, na inavyoonekana kuanzia mtu anachagua avatar yake anakuwa anacommunicate na inner most feelings and personality yake bila yeye mwenyewe kujitambua. kwa mfano bujibuji, katavi, mentor, kamaka, n so many more
mkuu Rejao nakuuliza Avantar yako ilivyo Je na wewe upo hivyo kitabia?natanguliza samahani ya nguvu ikiwa kama utakasirika.Mmh! Ngoja nijikalie tu kimya! 88 njema!
Na wewe unajtuujulisha kuwa kama ilivyo Avatar yako na kitabia upo hivyo hivyo?Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka, nimegundua kuwa avatar nyingi za wana JF na mawazo yao zinaendana kabisa, na inavyoonekana kuanzia mtu anachagua avatar yake anakuwa anacommunicate na inner most feelings and personality yake bila yeye mwenyewe kujitambua. kwa mfano bujibuji, katavi, mentor, kamaka, n so many more
Mi sa ivi ni born again Christian.<br />
<br />
Jesus christ arrested mi long kitambo.<br />
<br />
<a href="http://www.eastafricantube.com/media/5047/Yesu_ni_bwana/" target="_blank">Yesu Ni Bwana</a>