Avatar

Tunamwendo mrefu wa kutembea kwenye mabonde na maforest ya giza kinene mpaka kufikia huko tunapokwenda.

Yaani AVATAR tu watu wamechanganyikiwa kabisa, Carmel usibadilishe iache hivyo hivyo, nyie mnaotuma PM'S kwa Carmel stop it now.


Na wewe hiyo mikono nayoo!!!
 
Mi i thought it is just a symbol which has nothing to do with a person. sikudhani kama watu wazima kabisa wanaweza kuchanganuikiwa na avator kwenye internet, lakini nashangaa.
sasa ndo umeamua kulia???
 
Kuna mtu anaitwa Domo Kaya avatar yake is too satanic.
 
mamaaaaaaaaaaaaaaaa, charity uko wapi? mama matesha eeh,woiiiiiiiiie!

Shhhhhhhiiiiiii! Kauka nawe basi dah!
Hapo umepunguza idadi ya maPM, ila umeongeza usumbufu kwa wakware. Screen zitapata shughuli yake!
 
Shhhhhhhiiiiiii! Kauka nawe basi dah!
Hapo umepunguza idadi ya maPM, ila umeongeza usumbufu kwa wakware. Screen zitapata shughuli yake!

hahaha Chripin umelogwa na naniliii manyonya🙂
 
Hivi topic nini hapa naona kama nimepotea vile.
 
better ufanye mabadiliko yenye kuleta manufaa na si kuzidi kuwaumiza wenzio
 
carmel

carmel is a superwoman!
JF Senior Expert Member


sasa hapa mama naona unajiongezea pi-emu za kutongozwa!niliwahi kukueleza kuwa wanawake wenye ndoa zao ndio wanaoongoza kwa mvuto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…