Tunamwendo mrefu wa kutembea kwenye mabonde na maforest ya giza kinene mpaka kufikia huko tunapokwenda.
Yaani AVATAR tu watu wamechanganyikiwa kabisa, Carmel usibadilishe iache hivyo hivyo, nyie mnaotuma PM'S kwa Carmel stop it now.
Carmel weka hiyo mamaangu hawatakutumia tena PM's
sasa ndo umeamua kulia???Mi i thought it is just a symbol which has nothing to do with a person. sikudhani kama watu wazima kabisa wanaweza kuchanganuikiwa na avator kwenye internet, lakini nashangaa.
Tena familia ya kizungu! Safi sana!nilijua hili nalo litakuja, see me now. a whole family, that really symbolize me!
Iribini una la kusema hapa?
Sasa mbona hujakabonya kale ka my fevareti batani kwenye hiyo yuziful posti?Exactly!
mamaaaaaaaaaaaaaaaa, charity uko wapi? mama matesha eeh,woiiiiiiiiie!
Shhhhhhhiiiiiii! Kauka nawe basi dah!
Hapo umepunguza idadi ya maPM, ila umeongeza usumbufu kwa wakware. Screen zitapata shughuli yake!