Sijasema hao watu ni wabaya, nimesema mu-avatar!Yani unasema mu avatar? yani mbaya? huyo ni my daughter........................
samahani babushka!
Nikitumie pasiwedi yangu ukague PMs kama sitongozwagi? We mamaa wewe! Stuka!
Yani unasema mu avatar? yani mbaya? huyo ni my daughter........................
samahani babushka!
umenigongea SENKSI!.....π
MSHIKI AMENILOGA BWANA
namna hii kweli biashara itafanyika?πHebu niambieni waungwana, hapa mnajadili nini? manake hizi fujohado nimefunga kiosk changu kuja kuangalia....naona moshi tu? moto u wapi?
hata mimi sioni!kompyuta imezima kabisaaaaaaaπ
Naona kama 'miwani' yangu imeharibika! eti Geoff,hapa pameandikwaje?
mwambie huo uchawi wake ni very useful na nimpa senks!
hehehehehe!kuna jamaa amekuja na deki mbovu wahi mpwaazKhaaaaaaa! oke baiii!π
Haya baba! mimi na wewe tena!twende kazi.Sijasema hao watu ni wabaya, nimesema mu-avatar!
Shost yep yalokukumba kupitia Avatar?
Jamani hizi avatar tunazoweka zinawafanya watu wapate mawazo gani? Mimi nimechoka nabadilisha yangu right now.
Nadanganywa mamiii? why? kwani kuna nini kinaendelea? hebu niambie mwenzio.Chrispin anakudanganya Charity .!!!
uncertainities!ππHahahahahahaha...hongera maana kuna njemba nyingine huamua kusarandia dame hapa jamvini kutokana na Avatar tu π...lakini huwezi kujua labda kuna kushabihiana kidogo na avatar hizo....LOL!