Avatar

Avatar

Usibadilishe Carmel waache waendelee kuumia na huo mgongo watajiju kama wamekuja kuangalia avatar hapa JF au kuwa great thinkers na kutoa points

We mdanganye mwenzio tu! Akipata mimba utamsaidia kulea?
 
Nimemhurumia esp Geof, maana ndoa yake bado changa na anasema nilikuwa namfanya anatenda dhambi. nikaona mmh, kijana harus tuchangie wenyewe halafu tumkwaze?🙄

Geoff ana lake jambo
We bwana harusi mpya avatar ya mamaaa Carmel inakuzuzua bado mshkaji????
 
Hii kazi naona haikufai.itabidi utafute ujasiriamali mwingine.Kuna fundi Tv alishaniibia deki yangu used.viswahili kibao ,mpaka akatoweka nayo.


Mi ni mmkweli, kwani hujaona duka langu shemeji>>? wakati unafungua hardware mi ndo nikona kaduka ka electronics😀
 
We mdanganye mwenzio tu! Akipata mimba utamsaidia kulea?
heeee! sasa hapa unataka kutufurahisha.Kwa niaba ya wadada na wamama wote humu ndani;we are not that stupid! unless otherwise mtu ajue anafanya nini mwenyewe.
 
mimba niipatie kwenye keyboard? kwa njia gani? diffusion au through rays?

Hayo mamjamaa yakiona kwenye PM hayafanikiwi, yanafanya the needful kwenye avatar kwa screen!~ Sasa thruu imani zao sijui za nini Carmel anaweza pata ujauzito wa njemba tano kwa wakati mmoja.
 
Hayo mamjamaa yakiona kwenye PM hayafanikiwi, yanafanya the needful kwenye avatar kwa screen!~ Sasa thruu imani zao sijui za nini Carmel anaweza pata ujauzito wa njemba tano kwa wakati mmoja.
si unajua tena na mambo ya manyoya? mmh, sirudii tena. Mi and my awkward mind, lol!
 
Afu na haka sijui kalikuwa wapi? hebu twambie hako ka-avatar kako ushakula PMs ngapi mwezi huu?

Sijapata PMs kihivyo sijui big braza unaniekea kamkono hapo???? nabadilisha nieke inayoappeal zaidi halafu nione kama nitapata PMs nyingi au unasemaje????
 
Sijapata PMs kihivyo sijui big braza unaniekea kamkono hapo???? nabadilisha nieke inayoappeal zaidi halafu nione kama nitapata PMs nyingi au unasemaje????
Unajua tatizo lako lilipo? avatar yako imekaa kikatuni sana.watu wanadhani mtoto na wanaogopa ufataki.Weka ya kimisi zaidi.
 
Back
Top Bottom