Average penis size inayopendwa zaid hii hapa

Average penis size inayopendwa zaid hii hapa

Urefu upi?...si wanasema "nanihii" nyingi zimepinda!
 
Kuna kipimo kingine cha asili ambacho hata hakiitaji gharama ya kununua vitu
Kwa ujumla urefu wa mb** hupimwa kwa kidole gumba. Hii inamaanisha kuwa kupata urefu wa mb** ikisimama ni mara mbili ya urefu wa kidole ghumba cha kwako cha mkononi. Just prove afalu come on and like my comment
Nice conversation!
 
Fupi/ndefu
Pana/nyembamba zote zinafaa kwa matumizi ya nyumbani kama tu vigezo na masharti vitazingatiwa
 
King'asti,
Acha nikuunge mkono tu. Kwa nini unapoteza muda kujishughulisha na urefu na ufupi. Kama hilo ndiyo kigezo basi kabla ya kuenda naye, muulize kina chake na upana wake. Ufundi wangu wa kumfikisha kileleni ndio cha maana hapa. Kwanza kumfikisha kileleni hakuhitaji urefu na unene si wajua? Kama ni unene basi hakuna mwenye huo unene wa penis. Wote, hata wewe nanihiiii huna huo unene wa kichwa cha mtoii. Mwenye fikra potofu ya kutaka kumwumiza mwenzake ndiyo atatafuta unene. Love making haihitaji kuumizana huko ni ujinga tuu.
to support your comment
mke wangu anataka nimsugue kwenye kisimi tu mpaka akojoe akisha kojoa kama nataka naweza kuingia ndan lakini yeye anakuwa kasha fika kileleni
 
We unafikiria sana mambo ambayo hutakiwi kufikiria. Unapunguza quality ya JF. Nakushauri usikilize Lam Rim Radio UK au Taiwan,usikilize lectures na mantras.
 
tunapima maana nyie siku hizi mnatuchanganya sana, mmeegemea zaidi kwenye saizi na sio mautundu hebu :help:....mzima lakini:tape:
Sasa unapima size ya penis ili ukaishoneshee mfuko ama? Mbona mnajua kujisumbua sana?
 
kama urefu unaweza kuupima kwa kuunganisha kidole gumba...sawa je ukitaka kujua unene??@Lamchina
 
Kwanza wanawake huwa hawajadili maumbile yao ya ndani hivyo. Huwa tunapata feedback nadhani. Hivi tunaweza kuongelea like una matiti mazuri na sijui nna oversecretion?

Mie huwa sijiwazi kama mzuri ama mbaya. Im just me, what you see is what you get. Not happy?take a hike! Kama kuna wenye vina sijui virefu ama vifupi si ukawape na salamu zangu?

Dadadeki! Once king'asti always king'asti. Big up
 
Back
Top Bottom