Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
to support your commentKing'asti,
Acha nikuunge mkono tu. Kwa nini unapoteza muda kujishughulisha na urefu na ufupi. Kama hilo ndiyo kigezo basi kabla ya kuenda naye, muulize kina chake na upana wake. Ufundi wangu wa kumfikisha kileleni ndio cha maana hapa. Kwanza kumfikisha kileleni hakuhitaji urefu na unene si wajua? Kama ni unene basi hakuna mwenye huo unene wa penis. Wote, hata wewe nanihiiii huna huo unene wa kichwa cha mtoii. Mwenye fikra potofu ya kutaka kumwumiza mwenzake ndiyo atatafuta unene. Love making haihitaji kuumizana huko ni ujinga tuu.
Sasa unapima size ya penis ili ukaishoneshee mfuko ama? Mbona mnajua kujisumbua sana?
Huu unene unanishangaza sijui kama nanino ya binadamu inaweza kuwa na unene huo. CM 12?Unene uwe 12-13cm ???
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Girth is another the right word..he ment circumference....
Kwanza wanawake huwa hawajadili maumbile yao ya ndani hivyo. Huwa tunapata feedback nadhani. Hivi tunaweza kuongelea like una matiti mazuri na sijui nna oversecretion?
Mie huwa sijiwazi kama mzuri ama mbaya. Im just me, what you see is what you get. Not happy?take a hike! Kama kuna wenye vina sijui virefu ama vifupi si ukawape na salamu zangu?