Aveva na kundi lako siku zenu simba zinahesabika

Hivi umeshawahi kuuguza mgonjwa?ambaye amezidiwa sana? Na ndugu wote wakahamia nyumbani kwake?wakawa wanasubiri muda na saa ili aage dunia?sasa huyo mgonjwa atapona vipi?ni LAZIMA AFE TU..ili ndugu waendelee na shughuli zingine...KUNA WANAOOMBA APONE..NA KUNA WANAOOMBA BORA AFE WAFANYE SHUGHULI ZINGINE... Ni sawa na SIMBA NA KAGERA..baada ya YANGA KUJUA MATOKEO YAO...wakahamia KAGERA ILI KUSHUGHULIKA NA SIMBA..simba ilikiwa ni lazima AFE...sababu waliopanga hiyo RATIBA WALILIJUWA HILO..kwamba SIMBA LAZIMA AFE..ili VYURA FC waongoze..
 
kwa hiyo yanga Ni hatari wanacheza mechi za simba,du kagera Ni bora kuliko simba?
 
Kwa mawazo yako hayo ndo maana mpira wetu hauwezi kuendelea, vipi kama Simba angecheza jumamosi na Yanga akacheza jana na matokeo yakawa vile vile?
Ndio vile tu lugha za kuudhi haziruhusiwi humu ndani ila alikuwa anastahili kabisa kuitwa kiazi huyo jamaa.
 
Yamekuwa hayo tena? Ligi haijaisha, bingwa hajapatikana bado. Mnaanza kuweweseka hivi. Mjiandae hivihivi kisaikolojia maana mwafwaaa. Huu mchezo hauhitaji hasira.
Yaani kufungwa wafungwe na kagera lawama wapewe Yanga.
 
Ndio vile tu lugha za kuudhi haziruhusiwi humu ndani ila alikuwa anastahili kabisa kuitwa kiazi huyo jamaa.
Anashindwa kujua kwamba ligi ina wadhamini, halafu wanataka kujitangaza; na mechi za kujitangaza ni mbili tu kila wiki. Hapo nahisi ashapata mantiki ya kuzitofautisha hizi mechi za wakongwe wawili.
 
Hakuna haja ya kusubiri bakora , ni vema mkaondoka wenyewe .
 
Aveva hana jipya kila mwaka sound tu!sasa aje na sound nyingine kwanini waachie ubingwa kizembe kila mwaka.
 
Kama mpaka muda huu Aveva bado yuko Simba , nitashangaa sana !
 
Aveva hana jipya kila mwaka sound tu!sasa aje na sound nyingine kwanini waachie ubingwa kizembe kila mwaka.
Naanzisha rasmi mipango ya kumuondoa kwa bakora , Kuanzia muda huu asikanyage Msimbazi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…